Matumizi ya kungu

Matumizi ya kungu

Kuna kungu aina mbili. kuna kungu tunda linalo chumwa mtini, hili ni la kawaida tunda km matunda mengine. hlf kuna kungu ile wanayotumia wadada hasa wa pwani km tanga, zanzibar hata bara pia watumiaji wameongezeka, hii sio tunda bali ni madini inayopikwa wenyewe wanajua zaidi na inakua kama kashata yenye kung'ara, hii ukila ndo inaregeza macho, inachosha mwili na kumfanya mwanamke aonekane ni mwenye hisia nyingi, na wanatumia ili kumvutia mwanaume, hamna kazi ingine zaidi ya hiyo, km vile mwanamke akivaa shanga kiunoni wala haina faida yyte kwake illa ni kwa lengo la kumvutia mwanaume.

lkn hii yote ni kwa wale wenye mawazo ya kingono ngono ndo itamvutia, wale wa kuangalia sn muvy za ngono hlf anataka amjaribie mkewe au demu wake wakati wale wanafanya mazoezi mtu kabinuliwa unataka kumbinua mpenzi wako utamvunja kiuno. tuacheni mawazo ya ngono, mwanaume asie na mawazo hayo wala hawwezi kushawishika na shanga wala hizo kungu, au sijui bikini, akah, bibi zetu hawakuvaa hizo bikini lkn mbona babu zetu walikua wakivutiwa sn na wanawake wao?

wanaume wote, tuacheni mawazo ya ngono na tufatilie yale yaliokua muhimu kwenye maisha yetu. ni hayo tu

sema na nafc yako usisemee wenzio.tuache kuwaza ngono hlf tufanye nn.km huwazi ni ww
 
Hapana chezea mkukumanga matawi yake kivuli tosha...
Banjua taratibuu kula hadi cha ndani kile daaaaa

Balaa lake ni maduduwasha au kubanjua kidole daaa hadi utamu utapotea.
Nadhani amepata majibu ya kungu za mapenz from HMS
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: HMS
sema na nafc yako usisemee wenzio.tuache kuwaza ngono hlf tufanye nn.km huwazi ni ww

ndo watanzania hatuna maendeleo, badala kuwaza maisha jinsi ya kujijenga we unawaza ngono, endelea kuwaza ngono halafu iweke kwenye practice ili uje upewe zawadi ya kua wakwanza kufanya ngono nchini, lkn tambua upo kwenye hasara duniani na ahera, hapa duniani unajihatarishia magonjwa, unamaliza hela badala kufanya vitu vya maana we ni ngono tu, hlf mbinguni adhabu kali inakungoja, endelea mr na ngono, teh teh teh, lol
 
Sokoni,
inalegeza macho kama mtu kanywa pombe,
inafanya papuchi iwe ya motooooo
inaongeza kama sio kuleta nyegge.
.

ya kweli haya?

unahitaji

mwiko.jpg


bila shaka...
 
Back
Top Bottom