Matumizi ya mafuta kwenye Altezza


haupo serious wewe.
 
Nakubaliana na mdau hizo lita 13 zinakufikisha moro bila shida.Mm nilitumia 15 ltrs Dar mpaka moro.Ila Alteza kimjini mjini ni majanga makubwa sana haifai.Ila kwenye high way ukiwa unatembea speed 100 mpaka 130 Hapo utaipenda inakula mdogo mdogo.
 
Nakubaliana na mdau hizo lita 13 zinakufikisha moro bila shida.Mm nilitumia 15 ltrs Dar mpaka moro.Ila Alteza kimjini mjini ni majanga makubwa sana haifai.Ila kwenye high way ukiwa unatembea speed 100 mpaka 130 Hapo utaipenda inakula mdogo mdogo.

Dar -Tanga ni km 350 unaenda na ltr 25.
 

Huo uendeshwaji unakuwaje?
 
Wote nyie ni madunya mimi nimetumia alteza huu mwaka wa 3 sasa....inakula km 100 kwa lita....dar arusha lita 8 tu
 
Kuwajulisha tu hayoma 3sfe ni mod za d4::zilipoingia waliiweka live engineza D4..walipopigakelelele wamebadili Jinathu shidaaa
 
Unaulizia gari inakunywa mafuta vipi acha ushankunaku ulitaka linywe mchemsho
 
Fastjet tungekimbiliazanini kwaltr 8
 
Mi natumia altezza haijawahi kunizimikia kwa sababu ya mafuta. PIA Ina mwaka sasa sijaipeleka kwa fundi. Zaidi ya service ya oil. Ni gari imara. Naipenda Sana ingawa sasa nataka kuuza Ili ninunue Noah kutokana Na mahitaji yangu. Lkn natamani nisiiuze. Kuhusu mafuta altezza bana raha yake Ni kugusa kibati. Sasa Kama wewe utataka misere lazima uchimbe Na hutaki kupitwa altezza itakutia wazimu. Kwani ukinyoosha mguu Ili uguar kibati inazama chini vitu vinafunguka na hapo ynawaacha wote ndio hapo sasa mafuta yanapokatika. Ni nauza 8.8 no bagain. Lkn nakupensa Sana altezza sitokusahau. Kwa ufupi alteza ikikuzimikia kutokana Na mafuta, halafu mfukoni Una 6000. Haitowaka. Lkn ikiwa Na Kama carina gari yangu ya kwanza, mafuta chupa ya maji ya azam lita 1.5 aaah unatoa gari
 
Nakubaliana na mdau hizo lita 13 zinakufikisha moro bila shida.Mm nilitumia 15 ltrs Dar mpaka moro.Ila Alteza kimjini mjini ni majanga makubwa sana haifai.Ila kwenye high way ukiwa unatembea speed 100 mpaka 130 Hapo utaipenda inakula mdogo mdogo.

Tunataka watu kama nyinyi ambao mshaendesha Toyota Altezza kwenda safari ndefu, siyo wanaozungumza kwa nadharia. Niliendesha Altezza (3S-FE) Agosti 2 mwaka huu kutoka Dar mpaka Kilosa (Dakawa High School) na kurudi Dar. Ni umbali wa kilomita 500 kwenda na kurudi na nilitumia lita 40 za mafuta pamoja na kukumbana na foleni ndefu kuanzia Kibaha mizani wakati nikirejea Dar. Lita 40 zilinipeleka na kunirudisha Dar na kesho yake nikazunguka mjini kabla ya taa ya geji kuanza kuwaka.
 
Mmmmm yaone.alteza uende kilosa dsm dsm kilosa..?labda katengeneza bb yako
 
Wote nyie ni madunya mimi nimetumia alteza huu mwaka wa 3 sasa....inakula km 100 kwa lita....dar arusha lita 8 tu

Jinga kabisa wewe...eti lita 1 km 100! Kufungue mbele si ajabu wamekuwekea engine ya pikipiki Boxer BM 150
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…