Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,496
Wote nyie ni madunya mimi nimetumia alteza huu mwaka wa 3 sasa....inakula km 100 kwa lita....dar arusha lita 8 tu
Kapime dengue, imeshakula kichwani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote nyie ni madunya mimi nimetumia alteza huu mwaka wa 3 sasa....inakula km 100 kwa lita....dar arusha lita 8 tu
Naomba nipite maana alteza ya kukufikisha moro kwa lts 13 naona vits utafika kwa lita 4
kwahiyo ulitaka linyonye mchemsho?watu bwana?Alteza ni Jini hilo linanyonya mafuta balaa
Labda chips yaikwahiyo ulitaka linyonye mchemsho?watu bwana?
hahhahahahahhahahKwi kwi kwi kwiiii!!!
hahahahhahahhhahahahhAngalia vizuri we utakuwa umefungiwa engine ya Starlet
Mkuu uko sahihi achana na hao wasiojua MagariNasisitiza tena. Altezza four cylinder inakwenda Moro kwa lita 13 za petroli.
Ha ha haaaKapime dengue, imeshakula kichwani.
Kuwa serious kwenye Mambo ambyo ni serious...Wote nyie ni madunya mimi nimetumia alteza huu mwaka wa 3 sasa....inakula km 100 kwa lita....dar arusha lita 8 tu