Wote nyie ni madunya mimi nimetumia alteza huu mwaka wa 3 sasa....inakula km 100 kwa lita....dar arusha lita 8 tu
Naomba nipite maana alteza ya kukufikisha moro kwa lts 13 naona vits utafika kwa lita 4
kwahiyo ulitaka linyonye mchemsho?watu bwana?Alteza ni Jini hilo linanyonya mafuta balaa
Labda chips yaikwahiyo ulitaka linyonye mchemsho?watu bwana?
hahhahahahahhahahKwi kwi kwi kwiiii!!!
hahahahhahahhhahahahhAngalia vizuri we utakuwa umefungiwa engine ya Starlet
Mkuu uko sahihi achana na hao wasiojua MagariNasisitiza tena. Altezza four cylinder inakwenda Moro kwa lita 13 za petroli.
Ha ha haaaKapime dengue, imeshakula kichwani.
Kuwa serious kwenye Mambo ambyo ni serious...Wote nyie ni madunya mimi nimetumia alteza huu mwaka wa 3 sasa....inakula km 100 kwa lita....dar arusha lita 8 tu