Michael Ngusa
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,637
- 463
Wakuu,
Proforma Invoice inatumika vipi? Pili, mimi ni freelancer na mteja anataka Proforma, nifanyeje? (niprint yangu? Je, vitu kama TIN na VRN ntatoa wapi au nibuni tu?
Au nitumie Proforma ya kampuni ambayo nimeajiriwa? (Ila services zangu ni tofauti.) Tatu, inamaanisha atanilipa kupitia Bank? Maana mimi nataka cash na je hatua inayofata baada ya mteja kupewa Proforma ni ipi, atoe advance sio?
Nisaidie tafadhali
Proforma Invoice inatumika vipi? Pili, mimi ni freelancer na mteja anataka Proforma, nifanyeje? (niprint yangu? Je, vitu kama TIN na VRN ntatoa wapi au nibuni tu?
Au nitumie Proforma ya kampuni ambayo nimeajiriwa? (Ila services zangu ni tofauti.) Tatu, inamaanisha atanilipa kupitia Bank? Maana mimi nataka cash na je hatua inayofata baada ya mteja kupewa Proforma ni ipi, atoe advance sio?
Nisaidie tafadhali