Bunge sio Mungu. Ni kusanyiko la wanasiasa fulani tu hivi mia kadhaa. Hawana mamlaka ya kuamua juu ya mwili wa mtu ambao hawakushiriki kuutengeneza, hawakuhangaika kumkuza. Unajua gharama ya kulea mtoto mpaka kuwa mtu mzima wewe au unajiongelesha tu? Yaani nilee mwanangu kwa jasho, machozi na damu yangu halafu kirahisi tu serikali impangie vitu ambavyo ni ujinga ujinga nikubali?Ni sheria iliyotungwa na bunge
Kukataa chanjo ni kama kutaka kujiua au kudhuru wanajamii wengine. Hii sheria ifuatwe tumalize kazi haraka. Kwa ubishi wa watz kama zisingekuwepo sheria hata chanjo zingine za watoto wazazi wangegoma tu. Punguzeni woga chanjo ni salama.Sheria inatumia neno 'may' na hakuna mahali popote kwenye hicho kifungu kinatumia neno 'shall' kuhimiza utekelezaji wake kwa hiyo sheria hiyo imekuwa 'outsmarted' na matokeo ya uchunguzi wa tume ya rais iliyosema ni 'HIARI' kwa hiyo acha kuendelea kutishia watu watakugawana kama nyama ya swala.
Check hii video halafu uone huyu jamaa alivyo hana akili. Hii kitu ndio analazimisha watu wachome?Hivi wewe, nikuulize kwanza, una akili sawa sawa?!
Yaani uwalazimishe watu kuchanjwa kwa tatizo ambalo wao hawalioni na ni la kusadikika?!
Utata mwingi umejaa juu tu ya report ya uwepo wa hayo maradhi na madhara yake.
Sasa hivi watu wakifa tunaambiwa ni COVID-19, so magonjwa mengine kama kisukari, ukimwi, maralia, presha, ajali, kipindupindu, pumu, magonjwa ya figo, TB na mengineyo hatarishi yamekwenda wapi au yameacha kuua?!
Nyie msitufanye sisi ni watoto.
Wewe na wapuuzi wenzako kama mnajua sana sheria andae document ya kusaini kila mtu atakae chomwa chanjo kuwa kama kutatokea madhara ya kiafya yatayosababishwa na muingiliano wa hiyo chanjo na damu then serikali itatoa fidia ya papo kwa papo bila kunigotiate Chochote na kama ittashindwa ikubali kushitakiwa mahakama ya kimataifa.
Msituletee ufala hapa. Chomeni ninyi na familia zenu. Kama ni madhara kila mtu abakie na yake, ninyi mliochoma mnawasiwasi gani na mshachoma kinga why mnaogopa maambukizi.
Yaani mtu una blaketi unaogopa baridi?!
Sheria haisemi lazima, kifungu kisema ni hiari (may) mchezo huwezi ukaumaliza kwa hicho kifungu fekiKukataa chanjo ni kama kutaka kujiua au kudhuru wanajamii wengine. Hii sheria ifuatwe tumalize kazi haraka. Kwa ubishi wa watz kama zisingekuwepo sheria hata chanjo zingine za watoto wazazi wangegoma tu. Punguzeni woga chanjo ni salama.
Umenikumbusha ile audio inayotembea hivi sasa jamaa anawapigia simu kampuni ya simu na kulalamika hataki tangazo la chanjo katika line yake ya simu.Kwa mujibu wa sheria ya afya jamii ya mwaka 2009 (Public Health Act, 2009) kifungu cha 24, imeeleza kuwa ni lazima kuchanjwa wala sio hiari. Na kila aliyechanjwa anapaswa kuwa na kadi/cheti. Vilevile, kifungu hicho cha 24 (2) kinatoa adhabu ya shilingi laki moja au kifungo cha miezi mitatu au vyote kwa pamoja kwa yeyote atakayekaidi.
Hakuna haja ya kubembelezana wakati sheria iko wazi.
Sisi ndo tunachanja sasa !!Sheria yetu ni huyu Bwana👇😁😁😁
View attachment 1958277
We jamaa zero kabisa. Aliyekwambia chanjo yenu hiyo ni kinga nani? Unajua walichosema walioitengeneza?Kukataa chanjo ni kama kutaka kujiua au kudhuru wanajamii wengine. Hii sheria ifuatwe tumalize kazi haraka. Kwa ubishi wa watz kama zisingekuwepo sheria hata chanjo zingine za watoto wazazi wangegoma tu. Punguzeni woga chanjo ni salama.
Nilitaka kukutukana. Ila kila tusi naona halijitoshelezi. Ngoja nikuache tu!Kwa mujibu wa sheria ya afya jamii ya mwaka 2009 (Public Health Act, 2009) kifungu cha 24, imeeleza kuwa ni lazima kuchanjwa wala sio hiari. Na kila aliyechanjwa anapaswa kuwa na kadi/cheti. Vilevile, kifungu hicho cha 24 (2) kinatoa adhabu ya shilingi laki moja au kifungo cha miezi mitatu au vyote kwa pamoja kwa yeyote atakayekaidi.
Hakuna haja ya kubembelezana wakati sheria iko wazi.
Wewe ujuaji wa kuingilia maamuzi ya miili ya watu huioni? Una kiherehere sana na yasiyokuhusu!Woga wa nini, dunia nzima wanachanja wewe unagoma kwa nini kama sio ujuaji tu
Yaani manufacturers wanasema chanjo iko kwenye majaribio, FDA mpaka watu wanajiuzulu kwa kuwa sio salama, staff wa Johnson and Johnson wanasema si salama, hawatachanja watoto wao wala wao hawachanji, wafanyakazi wataalam wa afya zaidi ya 70k New York pekee wamegoma kuchanja. Halafu anakuja mtanzania mmojq hajui a wala be anasema ni salama!Kukataa chanjo ni kama kutaka kujiua au kudhuru wanajamii wengine. Hii sheria ifuatwe tumalize kazi haraka. Kwa ubishi wa watz kama zisingekuwepo sheria hata chanjo zingine za watoto wazazi wangegoma tu. Punguzeni woga chanjo ni salama.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sheria hiyo inalazimisha na watu kutahiri au kuvunja Govi?
jibuni hoja sio kutishia watu. Kwa nini mnakataa kujidhamini kama hicho kiitwacho chanjo ni salama? Mbona hamlazimishi watu kutibiwa kifua kikuu, ukimwi, kisonono, kaswende, nk wakati nayo ni magonjwa ya kuambukiza. Na hayo nayo mtatoa ofa za kuingia viwanjani bure kwa watakaokubali kutibiwa na kuchanjwa. Au hili la sasa lina nini cha zaidi?Kwa mujibu wa sheria ya afya jamii ya mwaka 2009 (Public Health Act, 2009) kifungu cha 24, imeeleza kuwa ni lazima kuchanjwa wala sio hiari. Na kila aliyechanjwa anapaswa kuwa na kadi/cheti. Vilevile, kifungu hicho cha 24 (2) kinatoa adhabu ya shilingi laki moja au kifungo cha miezi mitatu au vyote kwa pamoja kwa yeyote atakayekaidi.
Hakuna haja ya kubembelezana wakati sheria iko wazi.
hahahahahahahahahahahahahahahahaha...........Kwa mujibu wa sheria ya afya jamii ya mwaka 2009 (Public Health Act, 2009) kifungu cha 24, imeeleza kuwa ni lazima kuchanjwa wala sio hiari. Na kila aliyechanjwa anapaswa kuwa na kadi/cheti. Vilevile, kifungu hicho cha 24 (2) kinatoa adhabu ya shilingi laki moja au kifungo cha miezi mitatu au vyote kwa pamoja kwa yeyote atakayekaidi.
Hakuna haja ya kubembelezana wakati sheria iko wazi.
Imagine hilo kubwa jinga lilikuwa ni Rais wa nchi!Hii nchi imejaa ujinga mwingi sana hasa akili za kimitishamba-mitishamba,ni moja ya nchi ambayo wananchi wake bado wanaamini mkojo wa asubuhi ukiunywa unatibu magonjwa mbalimbali mwilini 🤣 🤣
Sengerema kuna shule ya msingi walienda hao maafisa afya na uongo wa kusingizia wametumwa na rais mwl mkuu akaogopa na kuacha watoto wakachanjwa, matokeo yake watoto kibao walikufa. Ushahidi upo. Hivyo kama una akili nyamaza kimya maana hasira iliyopo kwa Mama Samia juu ya chanjo ni kubwa kwa sababu maafisa afya wanawadanganya watu eti rais kaagizia.Kwa mujibu wa sheria ya afya jamii ya mwaka 2009 (Public Health Act, 2009) kifungu cha 24, imeeleza kuwa ni lazima kuchanjwa wala sio hiari. Na kila aliyechanjwa anapaswa kuwa na kadi/cheti. Vilevile, kifungu hicho cha 24 (2) kinatoa adhabu ya shilingi laki moja au kifungo cha miezi mitatu au vyote kwa pamoja kwa yeyote atakayekaidi.
Hakuna haja ya kubembelezana wakati sheria iko wazi.