cheti cha ndui kiko wapi na huu ulazima ni wa nini wakati mwenye kasema ni hiari ila watu waelimishwe kwanza.kama wewe umechanja usiwalazimishe wengine kuchanja.Kwa mujibu wa sheria ya afya jamii ya mwaka 2009 (Public Health Act, 2009) kifungu cha 24, imeeleza kuwa ni lazima kuchanjwa wala sio hiari. Na kila aliyechanjwa anapaswa kuwa na kadi/cheti. Vilevile, kifungu hicho cha 24 (2) kinatoa adhabu ya shilingi laki moja au kifungo cha miezi mitatu au vyote kwa pamoja kwa yeyote atakayekaidi.
Hakuna haja ya kubembelezana wakati sheria iko wazi.
Mnawaza namna ya kuwatoza tozo wasiotaka kuchanjwa ama kuwafunga, siyo? Mama hataki mambo ya dhuluma acha kumchafua.Vilevile, kifungu hicho cha 24 (2) kinatoa adhabu ya shilingi laki moja au kifungo cha miezi mitatu au vyote kwa pamoja kwa yeyote atakayekaidi.
Tatizo wakinaKwa mujibu wa sheria ya afya jamii ya mwaka 2009 (Public Health Act, 2009) kifungu cha 24, imeeleza kuwa ni lazima kuchanjwa wala sio hiari. Na kila aliyechanjwa anapaswa kuwa na kadi/cheti. Vilevile, kifungu hicho cha 24 (2) kinatoa adhabu ya shilingi laki moja au kifungo cha miezi mitatu au vyote kwa pamoja kwa yeyote atakayekaidi.
Hakuna haja ya kubembelezana wakati sheria iko wazi.
Sam waue mafaler haoHivi wewe, nikuulize kwanza, una akili sawa sawa?!
Yaani uwalazimishe watu kuchanjwa kwa tatizo ambalo wao hawalioni na ni la kusadikika?!
Utata mwingi umejaa juu tu ya report ya uwepo wa hayo maradhi na madhara yake.
Sasa hivi watu wakifa tunaambiwa ni COVID-19, so magonjwa mengine kama kisukari, ukimwi, maralia, presha, ajali, kipindupindu, pumu, magonjwa ya figo, TB na mengineyo hatarishi yamekwenda wapi au yameacha kuua?!
Nyie msitufanye sisi ni watoto.
Wewe na wapuuzi wenzako kama mnajua sana sheria andae document ya kusaini kila mtu atakae chomwa chanjo kuwa kama kutatokea madhara ya kiafya yatayosababishwa na muingiliano wa hiyo chanjo na damu then serikali itatoa fidia ya papo kwa papo bila kunigotiate Chochote na kama ittashindwa ikubali kushitakiwa mahakama ya kimataifa.
Msituletee ufala hapa. Chomeni ninyi na familia zenu. Kama ni madhara kila mtu abakie na yake, ninyi mliochoma mnawasiwasi gani na mshachoma kinga why mnaogopa maambukizi.
Yaani mtu una blaketi unaogopa baridi?!
Dunia nzima kuna kesi za kubambikizia kama ilivyo tanzania ?Woga wa nini, dunia nzima wanachanja wewe unagoma kwa nini kama sio ujuaji tu
Wewe usiyetaka kufa ukichanjwa inatosha maana autoambukizwa, hao wasioogopa kufa waache waambukizweKukataa chanjo ni kama kutaka kujiua au kudhuru wanajamii wengine. Hii sheria ifuatwe tumalize kazi haraka. Kwa ubishi wa watz kama zisingekuwepo sheria hata chanjo zingine za watoto wazazi wangegoma tu. Punguzeni woga chanjo ni salama.
Wala hatupigi kelele na wewe ,tunakugwaji tu.😂Sichanji na hakuna mtu wa kunifanya lolote mimi ni mtu mzima mwenye maamuzi yangu sikutegemei kwa chochote hadi uje uniamrie juu ya mwili wangu
Kwa Hiyo wewe ni zaidi ya Sheria?Sichanji na hakuna mtu wa kunifanya lolote mimi ni mtu mzima mwenye maamuzi yangu sikutegemei kwa chochote hadi uje uniamrie juu ya mwili wangu
Je Sheria ipo na inasemaje ndani ya Taifa letu lenye kufuata utawala wa Sheria?Hivi wewe, nikuulize kwanza, una akili sawa sawa?!
Yaani uwalazimishe watu kuchanjwa kwa tatizo ambalo wao hawalioni na ni la kusadikika?!
Utata mwingi umejaa juu tu ya report ya uwepo wa hayo maradhi na madhara yake.
Sasa hivi watu wakifa tunaambiwa ni COVID-19, so magonjwa mengine kama kisukari, ukimwi, maralia, presha, ajali, kipindupindu, pumu, magonjwa ya figo, TB na mengineyo hatarishi yamekwenda wapi au yameacha kuua?!
Nyie msitufanye sisi ni watoto.
Wewe na wapuuzi wenzako kama mnajua sana sheria andae document ya kusaini kila mtu atakae chomwa chanjo kuwa kama kutatokea madhara ya kiafya yatayosababishwa na muingiliano wa hiyo chanjo na damu then serikali itatoa fidia ya papo kwa papo bila kunigotiate Chochote na kama ittashindwa ikubali kushitakiwa mahakama ya kimataifa.
Msituletee ufala hapa. Chomeni ninyi na familia zenu. Kama ni madhara kila mtu abakie na yake, ninyi mliochoma mnawasiwasi gani na mshachoma kinga why mnaogopa maambukizi.
Yaani mtu una blaketi unaogopa baridi?!
Na corona ikikupata usitusumbue wala usisumbua ndugu zako. Ujinga mzigo kweli, mtu unaishi na chanjo kama tano mwilini tena za haohao wazungu halafu unajifanya mjanja pori kupinga chanjo ya Covid- 19, Pathetic!Baada ya kuchanjwa mnaanza kusikia shoti za umeme mwilini, wengine wamekufa wengine hoi ICU mnatamani kila mtu akachanjwe. Machanjo yenyewe mliyochanjwa batch yake haitambuliki ulimwenguni na tuliwaambia mkawa wabishi. Ngoja tuendelee kuwaangalia chanjo zitawaathiri vipi.. Ila mimi hata uje na AK47 hunichanji labda niwe hoi sina fahamu.
Ili waendelee kusambaza virus sio?cheti cha ndui kiko wapi na huu ulazima ni wa nini wakati mwenye kasema ni hiari ila watu waelimishwe kwanza.kama wewe umechanja usiwalazimishe wengine kuchanja.
Pole mkuu, usingizi huo si mzuri --- There is a new pandemic coming your way. It will be because of the vaccinations. All vaccinated people are being led slowly to their deathsNa corona ikikupata usitusumbue wala usisumbua ndugu zako. Ujinga mzigo kweli, mtu unaishi na chanjo kama tano mwilini tena za haohao wazungu halafu unajifanya mjanja pori kupinga chanjo ya Covid- 19, Pathetic!
Kama umechanjwa mkuu unaogopa nini? Tafuta information zaidi rafiki --- THE VACCINE DEATH REPORT – Millions Are Dying From The InjectionsIli waendelee kusambaza virus sio?
Mkuu inajulikana kabisa nini kitatokea, ukiwa mfuatiliaji wa karibu wa jambo hili ----- THE VACCINE DEATH REPORT – Millions Are Dying From The InjectionsUlimwenguni kote makundi yote mawili ya waliochanjwa na ambao hawajachanjwa yamejaa hofu na mashaka juu ya chanjo. Waliochanjwa hawajui Nini kitawapata baadae na ambao hawajachanjwa wanawaangalia waliochanjwa nini kitawapata waliochanjwa. Lakini mpaka Sasa ambao hawajachanjwa wanaonekana kuwa na unafuu wa mashaka kuliko waliochanjwa mana kila leo yanaibuka mambo mapya juu ya hizi chanjo. Mungu ndiye atakayetupa tumaini. Ila waliochanjwa mh! Tusubiri tuone.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Woga wa nini, dunia nzima wanachanja wewe unagoma kwa nini kama sio ujuaji tu
Emergency kwa Lipi? Wapi? Lini?Emergence kwenye afya haitafsiriwe kama hali ya hatari inayohitaji tamko rais. Tafsiri ya emergence kwa afya dharula tu ya kawaida hivyo utekelezaji wa sheria hii hauhitaji matamko. Kaeni tayari kwa kutekeleza wajibu wenu kisheria kuchanjwa