Matumizi yako kwa siku ni sh. ngapi? Je, niko vizuri au mimi ni mwananchi mnyonge?

Matumizi yako kwa siku ni sh. ngapi? Je, niko vizuri au mimi ni mwananchi mnyonge?

Daah mnaolipa kodi elf 80_70 mna raha sanaa.. nipo mkoa wa kitalii..

Kodi kwa mwezi nalipa 300k ingawa nahamisha kodi ya nyumba yangu ya Dar naweka huku.

Usafiri nafatwa na gari la ofisi hivyo nawez maliza wiki sijatoka na gari yangu.

Chakula kwa siku sina hesabu kamili maana nafanya shopping kila wiki.. hivyo sinunui chakula mgahawani (NAPIKA).

Gharama zingine ndg ndg kwa siku sizidi 4k.. hapo nimespend sana..

Note: SHOPPING ya 30k Kwa siku 7 nasurvive vzr kbs....

Savings inategemea ila ni 1m+ inayobak inaingia ktk maendeleo..
We itakuwa una kipato kizuri
 
Hiyo namba 5 ndio inanifanya nisiweze au niwe mnyonge wa kuanzisha biashara huku, nilipokua DSM nilikua na mtaji wa laki 5 tu na ulinitosha kufanya harakati zangu hapo karume sokoni nilikua nakula na nilipanga bungeni hapo, kigoma huku kati ya watu 100, wote 100 wanaamini uchawi upo, 99 kati ya hao wanaupractise kabisa, nina uwezo wa kwenda bank wakanipa mkopo wa milion 20 lakini nashindwa kwa sababu huu mkoa, hautoi ruhusa ya mtaji au ubora wa bidhaa kufanya vizuri sokoni bali unae mganga gani mzuri? Kama mawazo ya biashara ninayo mengi tu, nimeshaenda sehemu wanapaita kibirizi, kuangalia namna ya mimi kuleta dagaa wa Mwanza huku (wanatoka sana) lakini watu wa huku sasa, wanakuona kama mshindani wao, hawatadhuru biashara tu, watafika na kwenye afya yako, uchawi na ushirikina ni mwingi mno.
 
Kwenda kazini natumia nauli ya 2000, kwenda 1000 kurudi 1000, asubuhi haiwezi kuzidi 1000 chai na harakati zingine, mchana hapa napiga sahani ya wali na nyama/dagaa/migebuka daily, ni 2000 nashushia na juice ya buku, kwa hiyo mchana jumla ni 3000, usiku ratiba yake ni kama mchana tu, 3000 lazima nitumie, kwa hiyo kwa siku nzima natumia 8000/= vocha natumia 5000 kwa week japo week haifiki mwisho, kwa hiyo kwa siku lazima nitumie 10,000/=
Hapo sina familia, kwa mwezi natumia 300,000/= ...nyumba nakaa ya 80,000/= hapo sijapiga mahesabu ya zaka na sadaka na michango mingine ya kanisa na jumuiya, kwa hiyo kwa mwezi natumia 450K hata nijibane kivipi, kila mwezi kwenye account nabakiza kiasi cha laki moja kama akiba so tokea nimepata hiki kibarua nina akiba ya 1.5m kipato changu kwa mwezi ni laki tano tu,

Sina cha kujivunia sana kwa sababu sina plot ninayomiliki, wala asset yoyote ile, nachukia sana kwenda church Jumapili nakutana na watu wengi wakiendesha magari n.k najiona kama myonge sana lakini najipa matumaini tu kwamba ipo siku moja, Age bado sijafika 30, nina 26.

Wewe mdau matumizi yako kwa siku ni yapi? Shusha Nondo zako tupate kujifunza na sisi.
Kwann usipike kwa mkoani vyakula vipo chini,home nunua kafriji kako kadogo iliviporo unatupia huko and unaweza nunua Nyakarare/mboga kwa wingi and ziweka huko pia,itakusaidia sn kusave kwa muda mrefu
 
Kwenda kazini natumia nauli ya 2000, kwenda 1000 kurudi 1000, asubuhi haiwezi kuzidi 1000 chai na harakati zingine, mchana hapa napiga sahani ya wali na nyama/dagaa/migebuka daily, ni 2000 nashushia na juice ya buku, kwa hiyo mchana jumla ni 3000, usiku ratiba yake ni kama mchana tu, 3000 lazima nitumie, kwa hiyo kwa siku nzima natumia 8000/= vocha natumia 5000 kwa week japo week haifiki mwisho, kwa hiyo kwa siku lazima nitumie 10,000/=
Hapo sina familia, kwa mwezi natumia 300,000/= ...nyumba nakaa ya 80,000/= hapo sijapiga mahesabu ya zaka na sadaka na michango mingine ya kanisa na jumuiya, kwa hiyo kwa mwezi natumia 450K hata nijibane kivipi, kila mwezi kwenye account nabakiza kiasi cha laki moja kama akiba so tokea nimepata hiki kibarua nina akiba ya 1.5m kipato changu kwa mwezi ni laki tano tu,

Sina cha kujivunia sana kwa sababu sina plot ninayomiliki, wala asset yoyote ile, nachukia sana kwenda church Jumapili nakutana na watu wengi wakiendesha magari n.k najiona kama myonge sana lakini najipa matumaini tu kwamba ipo siku moja, Age bado sijafika 30, nina 26.

Wewe mdau matumizi yako kwa siku ni yapi? Shusha Nondo zako tupate kujifunza na sisi.
Wewe ni fukara
 
Back
Top Bottom