Matumizi yako kwa siku ni sh. ngapi? Je, niko vizuri au mimi ni mwananchi mnyonge?

We itakuwa una kipato kizuri
 
 
Kwann usipike kwa mkoani vyakula vipo chini,home nunua kafriji kako kadogo iliviporo unatupia huko and unaweza nunua Nyakarare/mboga kwa wingi and ziweka huko pia,itakusaidia sn kusave kwa muda mrefu
 
Wewe ni fukara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…