Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maparachichi mengi ya siku hizi mabaya kweli. Hayana ladha kabisa.
sielewi Ila napenda kukata vikubwa natia limao nakula na ubwabwa
siyo kama yanapepelewa?Kilimo kimekuwa kwa teknolijia huku kikipoteza ladha ya vyakula sasa
Jamaa anataka matunda bana, hebu soma kichwa cha uzi.sielewi Ila napenda kukata vikubwa natia limao nakula na ubwabwa
sijui kama ni tunda au siyo tunda.Jamaa anataka matunda bana, hebu soma kichwa cha uzi.
Sent from my Infinix X573 using JamiiForums mobile app
Hata mademu wa siku hizi, wazuri sana lakini kitandani hawana ladha ndio maana wanatoa jichoKilimo kimekuwa kwa teknolijia huku kikipoteza ladha ya vyakula sasa
Tatizo wamezidi kuexpose sana miili yao hivyo joto la asili linapungua!Hata mademu wa siku hizi, wazuri sana lakini kitandani hawana ladha ndio maana wanatoa jicho
Mtoa mada licha ya kuwa nimeshachangia mara nyingi kwenye huu uzi, leo naomba nichangie kwa kuweka na picha za baadhi ya matunda hayo.[emoji120]Tukiacha parachichi na ndizi ambayo ni maarufu, je ni matunda gani mengine tunaweza kula sambamba na ubwabwa?