Matunda haya yanaitwaje kwa lugha ya kiswahili na kikwenu?

Tulikuwa tunayaita Madala tulipokuwa wadogo.
Huwa yana yanazaa kwenye msimu miliwi kwa mwaka kwenye hali ya hewa ya tropika. Niko na mti wake nyuma ya nyumba yangu. Ndege huwa wanajenga nyumba yao mwezi kabla ya kuzaa matunda haya kwa nia ya kula.
 
yalinifanyaga nikapata na dem wa kiarabu enzi hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…