Matunda ya Diaspora: Namna Wanawake Diaspora 2 walivyoweza kumuweka Kagame na Rwanda kwenye kona. Tanzania tuna la kujifunza

Matunda ya Diaspora: Namna Wanawake Diaspora 2 walivyoweza kumuweka Kagame na Rwanda kwenye kona. Tanzania tuna la kujifunza

Hivi Waziri wa Mipango na Wa nje ni sawa kwa DRC
Mbona kama wizara tofauti
Wa mambo ya nje ni Christophe au kabadilishwa?
 
Unaota ndoto. Kale ugali ushibe uote ndoto zaidi.
Kagame ndiyo kaishia hapo. Congo ya Mobutu ilishakwisha. Ni kweli kabisa M23 trained by chinese, lakini baada ya siri hiyo kufunguka ndiyo mwisho. Lini umewahi kuona Taifa ambalo limesaidiwa na mkomunist liakendelea? Propaganda tu hizo. China needs the West for its Development, West doesn't need China. Nyie mmeoshwa akili hadi hamjui geopolitics za ulimwengu
Hio congo jeshi hata combat tu hawana endeleeni kuota na mjinyee humohumo kwenye ndoto zenu,,,,,,,game ni ile ile ambush hadi hao walio nyuma ya Tshisekedi waisome namba
 
Unaota ndoto. Kale ugali ushibe uote ndoto zaidi.
Kagame ndiyo kaishia hapo. Congo ya Mobutu ilishakwisha. Ni kweli kabisa M23 trained by chinese, lakini baada ya siri hiyo kufunguka ndiyo mwisho. Lini umewahi kuona Taifa ambalo limesaidiwa na mkomunist liakendelea? Propaganda tu hizo. China needs the West for its Development, West doesn't need China. Nyie mmeoshwa akili hadi hamjui geopolitics za ulimwengu
Hehe hata Ukraine kasaidiwa na mkomunist ndo maana sahivi wanalamba mchanga. ....endeleeni kukariri mambo hivyo hivyo.....mchezo umebadilika na hii ndio New World Order nyie endeleeni na madesa yenu ya enzi za wakina Hitler, gandeni hukohuko ila mfumo umeshabadilika hakuna monopoly kwa sasa Global South vs the West
 
Hivi lini umegeuka 180 degrees? Wewe ulikua supporter sana wa huu utawala wa CCM hasa kwenye DPWorld, vipi tena? Au siyo ID yako nimechanganya? Maana hii point inabidi uwe na IQ kubwa ndiyo uandike, Bi ushungi au JK thubutu.
Ni mimi yule yule. Wazo la kubinafsisha Bandari zetu nilishawahi kulitoa mwaka 2022 kabla hata masuala ya DP World hayajaja rasmi.
Hadi leo naunga mkono hoja ya Bandari na Viwanja vya Ndege kuendeshwa kwa mfumo wa PPP.

Kama umekuwa ukinifuatilia mimi tangu 2015 utagundua kuwa mimi ni muumini wa Haki, Utawala Bora na Maendeleo ya Uhakika na sio chama wala mtu.

Nilikuunga mkono Magufuli 2015 na nikaacha kumuunga mkono baada ya kuanza vitendo vya kudidimiza Haki na kutofuata Utawala Bora. Pia kuna maeneo nimeiunga mkono Serikali ya Samia na kuna maeneo sikubaliani nayo.
 
Hio congo jeshi hata combat tu hawana endeleeni kuota na mjinyee humohumo kwenye ndoto zenu,,,,,,,game ni ile ile ambush hadi hao walio nyuma ya Tshisekedi waisome namba
Mjidanganye tu. West hata Wachina wako hao; wote uangalia maslahi. Uliona kule Gaza? Yale mabomu? Rafiki mkubwa wa Palestina, Mrusi, Mchina, Irani, Waarabu wote walikuwa wapi? Jibu ni kuwa hakuna maslahi hasa dume la Mbwa likianza kazi. Mchina sijui nani wote hufyata.
 
Ni mimi yule yule. Wazo la kubinafsisha Bandari zetu nilishawahi kulitoa mwaka 2022 kabla hata masuala ya DP World hayajaja rasmi.
Hadi leo naunga mkono hoja ya Bandari na Viwanja vya Ndege kuendeshwa kwa mfumo wa PPP.

Kama umekuwa ukinifuatilia mimi tangu 2015 utagundua kuwa mimi ni muumini wa Haki, Utawala Bora na Maendeleo ya Uhakika na sio chama wala mtu.

Nilikuunga mkono Magufuli 2015 na nikaacha kumuunga mkono baada ya kuanza vitendo vya kudidimiza Haki na kutofuata Utawala Bora. Pia kuna maeneo nimeiunga mkono Serikali ya Samia na kuna maeneo sikubaliani nayo.
Bravo
 
Wanaume wa CCM wanaojitambua wakwapi?
Nikisema wanawake waliopo CCM hawajitambui sina maana kuwa wanaume wa CCM wanajitambua, nachojua ni kuwa wengi ya wanaume wa CCM ni Chawa. Wakiwa na mimi wanavyosema CCM ilivyo na ukisikia wanayoongea jukwaani hapo ndiyo unashangaa. Real 99.99% ni Chawa.
 
Mjidanganye tu. West hata Wachina wako hao; wote uangalia maslahi. Uliona kule Gaza? Yale mabomu? Rafiki mkubwa wa Palestina, Mrusi, Mchina, Irani, Waarabu wote walikuwa wapi? Jibu ni kuwa hakuna maslahi hasa dume la Mbwa likianza kazi. Mchina sijui nani wote hufyata.
Mrusi hana shida na Israel....na ndo maana kwa sasa zinaiva na Trump ambae anawaminya wa ulaya ila anamboost Netanyahu...Mrusi hana interest ya maana hapo mashariki ya kati kama Mmarekani ila huku Afrika Mrusi na Mchina nao focus ipo huku.....kama enzi hizo tu Tanzana na uchumi wake aliwasumbua makaburu wa Afrika kusini na wakoloni wengine unadhani kwa sasa akikaa mchina na mrusi anatoka mtu? Tena hao ni mafundi wa guerilla warfare kuliko hata hao wamagharibi,,, hao wazungu watabaki majangwani tu huko ila msituni kazi hawaiwezi
 
Nikisema wanawake waliopo CCM hawajitambui sina maana kuwa wanaume wa CCM wanajitambua, nachojua ni kuwa wengi ya wanaume wa CCM ni Chawa. Wakiwa na mimi wanavyosema CCM ilivyo na ukisikia wanayoongea jukwaani hapo ndiyo unashangaa. Real 99.99% ni Chawa.
Kwa kifupi Wanawake na Wanaume waliopo CCM ni maiti zinazotembea.
 
Mrusi hana shida na Israel....na ndo maana kwa sasa zinaiva na Trump ambae anawaminya wa ulaya ila anamboost Netanyahu...Mrusi hana interest ya maana hapo mashariki ya kati kama Mmarekani ila huku Afrika Mrusi na Mchina nao focus ipo huku.....kama enzi hizo tu Tanzana na uchumi wake aliwasumbua makaburu wa Afrika kusini na wakoloni wengine unadhani kwa sasa akikaa mchina na mrusi anatoka mtu? Tena hao ni mafundi wa guerilla warfare kuliko hata hao wamagharibi,,, hao wazungu watabaki majangwani tu huko ila msituni kazi hawaiwezi
You must be OLd School or just lazy to google.
Who kept Syria surviving - Russia
Who is supporting Iran - Russia and China
Syria (Asad) imepinduliwa baada ya Mrusi kuzidiwa Ukraine.

Sasa ku-compare Tanzania na South Africa ya wakati ule, sijui uchumi upi uaosema.
 
Hahahaha unamaanisha yule Ansbert Ngurumo?

Bora Chahali kidogo anajitahidi na anaonekana ana akili ingawa nae kuna muda anapuyanga.
Hivi huyo Ansbert Mgurumo aliyekuwa anaifukunyua sana serikali ya awamu ya tano siku hizi yuko wapi? Mbona simskii kabisa au kashalambishwa asali huko huko ughaibuni ndio maana yuko kimya???
 
You must be OLd School or just lazy to google.
Who kept Syria surviving - Russia
Who is supporting Iran - Russia and China
Syria (Asad) imepinduliwa baada ya Mrusi kuzidiwa Ukraine.

Sasa ku-compare Tanzania na South Africa ya wakati ule, sijui uchumi upi uaosema.
Hata hao waliomuangusha Asad Syria umeona wana bifu na mrusi? Mrusi hawezi akakomaa hapo mashariki ya kati maana kwa mafuta anayo ya kutosha hao wasio na rasilimali za kutosha lazima wakaze msuli.......na wakajiroga wakataka kuanzisha mambo yao huko Msumbiji huyohuyo Mnyarwanda akawatuliza bado DRC ,,,,,,.......Ukraine walijitutumua ila kwa sasa yako wapi? ......DRC kwa sasa inaenda kumegwa kama ilivyomegwa Sudan watch this... kama mrusi alivyoimega Ukraine mfumo huohuo unaenda kufanya kazi DRC.....nyie ma puppet wao endeleeni kutoa povu ila hamna nguvu ya kuzuia jambo lolote kwa sasa
 
Back
Top Bottom