Matunda ya Diaspora: Namna Wanawake Diaspora 2 walivyoweza kumuweka Kagame na Rwanda kwenye kona. Tanzania tuna la kujifunza

Matunda ya Diaspora: Namna Wanawake Diaspora 2 walivyoweza kumuweka Kagame na Rwanda kwenye kona. Tanzania tuna la kujifunza

Tena kwa kazi ya wanawake wawili Diaspora.

Wakati huku tunawaminya Diaspora eti kuwapa hadhi maalum tu. Sijui tunashindwa nini kuwatambua rasmi fully kama raia na hata kutambua uraia pacha.
Kwa tanzania hii diaspora hana tofauti na muahini.

Yaani kitendo tu cha wewe kuishi nje ya nchi hata kama kila unachofanya huko ni halali, serikali automatically inakosa imani na wewe na kukuona wewe ni potential enemy kwa ustawi wa taifa hili lenye lahana.

Yaani kibaka anayeishi pale kwenye viunga vya Manzese anaonekana ni mzalendo kuliko wewe mtanzania unayeishi ughaibuni unafanya shughuli zako halali na unatuma na remittance hapa nyumbani...😅😅

Kasumba hii ndio imepelekea mpaka kupata passport au visa imekuwa ni suala zito na gumu sana kulinganisha na nchi zingine zilizotuzunguka.

Watu wengi huwa wanamsifia Samia kuwa eti ni mwanadiplomasia mzuri, anajua umuhimu wa interactions kwa watu wa mataifa tofauti tofauti kwenye kuboost uchumi, lakini nashangaa mpaka leo hii mifumo ya mtu kupata visa,passport bado ni ile ile..

Pia nilitegemea yeye baada ya kukabidhiwa Kijiti kwa upeo wake mkubwa na exposure aliyonayo basi ataona umuhimu wa kuwathamini diaspora lakini mambo bado ni yale yale tu....

Binafsi naamini nchii hii bado haijakomboka hasa kifikra hili kuendana na dunia.
 
Hata hao waliomuangusha Asad Syria umeona wana bifu na mrusi? Mrusi hawezi akakomaa hapo mashariki ya kati maana kwa mafuta anayo ya kutosha hao wasio na rasilimali za kutosha lazima wakaze msuli.......na wakajiroga wakataka kuanzisha mambo yao huko Msumbiji huyohuyo Mnyarwanda akawatuliza bado DRC ,,,,,,.......Ukraine walijitutumua ila kwa sasa yako wapi? ......DRC kwa sasa inaenda kumegwa kama ilivyomegwa Sudan watch this... kama mrusi alivyoimega Ukraine mfumo huohuo unaenda kufanya kazi DRC.....nyie ma puppet wao endeleeni kutoa povu ila hamna nguvu ya kuzuia jambo lolote kwa sasa
Baada ya kukuona upo upande wa Putin kuivamia Ukraine nimeona nitamatishe hii discussion, kwa sababu we are in two different worlds. Hongera kwa contribution yako
 
Che Guevara alikwenda Congo kusaidia mapinduzi ya kizalendo! Akakuta wanajeshi wanakula pombe na Waawake daily!

Congo ni chi ya Bata tu, Sio kazi kazi! Watatawaliwa milele!

Hata M23/Rwanda ikiondolewa Congo itaendelea kuwa uwanja wa vita haijawahi kutulia. Wanajua kukata mauno tu. Congo ni kubwa jinga.
 
TZ ina upumbavu endelevu inaamini mtu kuwa diaspora tayari ni mhaini.
 
TZ ina upumbavu endelevu inaamini mtu kuwa diaspora tayari ni mhaini.
Ndo hapo sasa. Wanapaswa kujifunza huko Congo.

Wanajeshi wenye viapo wanawaachia Rwanda na waasi wao maeneo ila Wanawake Diaspora ndo wanaipambania nchi yao na kupata matokeo mazuri.

Shida CCM imejaa watu wenye akili mfu sana.
 
Kwa tanzania hii diaspora hana tofauti na muahini.

Yaani kitendo tu cha wewe kuishi nje ya nchi hata kama kila unachofanya huko ni halali, serikali automatically inakosa imani na wewe na kukuona wewe ni potential enemy kwa ustawi wa taifa hili lenye lahana.

Yaani kibaka anayeishi pale kwenye viunga vya Manzese anaonekana ni mzalendo kuliko wewe mtanzania unayeishi ughaibuni unafanya shughuli zako halali na unatuma na remittance hapa nyumbani...😅😅

Kasumba hii ndio imepelekea mpaka kupata passport au visa imekuwa ni suala zito na gumu sana kulinganisha na nchi zingine zilizotuzunguka.

Watu wengi huwa wanamsifia Samia kuwa eti ni mwanadiplomasia mzuri, anajua umuhimu wa interactions kwa watu wa mataifa tofauti tofauti kwenye kuboost uchumi, lakini nashangaa mpaka leo hii mifumo ya mtu kupata visa,passport bado ni ile ile..

Pia nilitegemea yeye baada ya kukabidhiwa Kijiti kwa upeo wake mkubwa na exposure aliyonayo basi ataona umuhimu wa kuwathamini diaspora lakini mambo bado ni yale yale tu....

Binafsi naamini nchii hii bado haijakomboka hasa kifikra hili kuendana na dunia.
Nchi hii inatakiwa kufanyiwa factory setting.

Ndo mana tunapambana sana tupate Katiba mpya maana at least itaweka mifumo thabiti kuondoa hili tabaka la Wanasiasa wanaotuharibia na kutuvurugia nchi.
 
Wamejaa sana Bongo hawa. Wamwjichomeka huko CCM na ndo wanajifanya wafia chama hadi wanaingizwa TISS
Kuna bomu kubwa litakuja kutulipukia siku za mbeleni huko hata kama ni 2045, hao watutsi hawafai kabisa ni heri tungewakumbatia hata wahindi au waharabu maana hawa hapa wanapachukulia ni nyumbani kwao, tofauti na hao mbwa ambao wanazaliwa Bugando, wanakulia geita, wanasoma udsm ila wanaamini nyumbani kwao ni Rwanda na chochote wanachokifanya wanakifanya kwa maslahi ya rwanda..😮‍💨
 
Tall sawa na mtu anaetegemea mganga aishi.
Mganga ni mfanyabiashara anakugeuka wakati wowote akipewa dau nene
 
Kuna bomu kubwa litakuja kutulipukia siku za mbeleni huko hata kama ni 2045, hao watutsi hawafai kabisa ni heri tungewakumbatia hata wahindi au waharabu maana hawa hapa wanapachukulia ni nyumbani kwao, tofauti na hao mbwa ambao wanazaliwa Bugando, wanakulia geita, wanasoma udsm ila wanaamini nyumbani kwao ni Rwanda na chochote wanachokifanya wanakifanya kwa maslahi ya rwanda..😮‍💨
Kweli kabisa.

Hili tushalisema sana. Kuna kitu kinakuja miaka ya huko mbeleni tutakuja kulia na kusaga meno.
 
Njia nyepesi ya kumaliza vita congo ni kuwapa migodi wamarekani bila damu,siku hizi unasikia tena zile takataka zinaleta fujo msumbiji zilifyekwa zote baada ya marekani kupewa migodi
 
Baada ya kukuona upo upande wa Putin kuivamia Ukraine nimeona nitamatishe hii discussion, kwa sababu we are in two different worlds. Hongera kwa contribution yako
Jipigie makofi......kumegwa milele aluta continua
 
Cobalt na coltan zinatakiwa sana kwenye collable ya E musk na Trump wanazipata kwa amani tu bila kutegemea rwanda
 
Cobalt na coltan zinatakiwa sana kwenye collable ya E musk na Trump wanazipata kwa amani tu bila kutegemea rwanda
Kama mrusi na mchina watawaachia wazipate kwa amani.....hio njia ya Trump na Musk alieanza kupita ni mchina sasa wameenda kumvurugia mambo yake sidhani kama na wao watakaa kinyonge.......mchina alisababisha Sudan kusini ijitenge na Sudan sidhani kama atashindwa kufanya mashariki ya Congo ijitenge iwe nchi kamili halafu wakina Trump na Musk wataachwa tu huko na wakata mauno wa Kinshasa
 
Nchi hii inatakiwa kufanyiwa factory setting.
Yaani inahitaji overhauling ya hali ya juu mno... maana uozo uliopo mizizi yake imeenda chini sana.
Ndo mana tunapambana sana tupate Katiba mpya maana at least itaweka mifumo thabiti kuondoa hili tabaka la Wanasiasa wanaotuharibia na kutuvurugia nchi.
Hakika katiba muhimu sana, maana hata hawa viongozi wabovu tulionao hatuwapati kwa meritocracy bali ni kupendeleana na kiitikadi sababu ya katiba mbovu.

Mtu anafanya kazi hili amfurahishe aliyemteua na sio awaridhishe wale anaowatumikia(wanainchi)
 
Njia nyepesi ya kumaliza vita congo ni kuwapa migodi wamarekani bila damu,siku hizi unasikia tena zile takataka zinaleta fujo msumbiji zilifyekwa zote baada ya marekani kupewa migodi
Kama muafrika anayelipenda bara lake hii comment yako imeniliza
 
Kweli kabisa.

Hili tushalisema sana. Kuna kitu kinakuja miaka ya huko mbeleni tutakuja kulia na kusaga meno.
Mimi nakwambia huko mbeleni tutakuja kupata akina Kabila kwenye ikulu yetu na wakati huo Rwanda itakuwa ndio biggest exporter wa tanzanite... na hakuna kitu watanganyika watafanya, maana muda huo hata cdf atakuwa ni mtu mwenye vinasaba vya huko huko rwanda.
 
Congo DRC ikiwa kwenye hatihati ya kutekwa na Rwanda na Uganda, Wanawake wawili Diaspora wanaibuka na kuisadia nchi yao kuishawishi Jumuiya ya Kimataifa kuchukua hatua stahiki dhidi ya Rwanda.

Sote tunafahamu namna Kagame alivyowekeza katika suala la Uhusiano wa Kimataifa.

Sote tunafahamu namna Kagame alivyofanikiwa kutengeneza picha chanya Kimataifa kuhusu nchi yake.

Kagame alifanya hayo kwa makusudi huku akiendelea kunufaika na kutotulia kwa Congo Mashariki.

Kazi kubwa iliyofanywa na Mawaziri Wawili wa Congo ambao ni wana Diaspora, Judith Suminwa Tuluka (Waziri Mkuu wa Congo) na Therese Kayikwamba Wagner ( Waziri wa Mambo ya Nje) imefanikiwa kumu outsmart Kagame na kumfanya awe uchi kwenye jumuiya ya Kimataifa hadi kufikia kuwekewa vikwazo na Mataifa ya Marekani, Canada, Uingereza, Ubelgiji na Ujerumani.


Mawaziri hawa kwa nyakati tofauti waliweza kutumia uzoefu wao kimataifa kuushawishi ulimwengu kuamini kuwa shida ya Congo Mashariki ni Kagame na sio siasa za ndani za Congo DRC.

Kwenye hili, Tanzania tuna la kujifunza sana hasa namna ya kuwatumia Diaspora ambao kwa nyakati tofauti wamekuwa branded kuwa sio Wazalendo.

Kwenye hili tumejifunza kuwa Diaspora wanaweza kuwa Wazalendo kwa kulipigania Taifa kuliko watu waliopo ndani. Mfano Congo Jeshi linakimbia na kuwaachia Rwanda /M23 maeneo wakati hawa mawaziri Diaspora wanapambana Rwanda awekewe vikwazo na wanafanikiwa.

Tanzania tujifunze namna ya kuwatumia Diaspora kwa Congo DRC.

Picha:
Waziri Mkuu wa Congo DRC Bi Judith Suminwa Tuluka na Waziri wa Mambo ya Nje wa Congo DRC Therese Kayikwamba Wagner!
View attachment 3264273View attachment 3264274
Huhitaji kuushi nje kufanya yaliyofanyika,acha fikra za kijinga
 
Yaani inahitaji overhauling ya hali ya juu mno... maana uozo uliopo mizizi yake imeenda chini sana.

Hakika katiba muhimu sana, maana hata hawa viongozi wabovu tulionao hatuwapati kwa meritocracy bali ni kupendeleana na kiitikadi sababu ya katiba mbovu.

Mtu anafanya kazi hili amfurahishe aliyemteua na sio awaridhishe wale anaowatumikia(wanainchi)
Sahihi kabisa. Tukipata Viongozi basing on merits kama Taifa tutapiga hatua kubwa sana kimaendeleo.
 
Back
Top Bottom