Huwezi kuhusisha agizo na tukio hili.Naomba aliekuwa ametoa agizo la kutoa tinted afuatiliwe pengne alikuwa ameshaona gari la Mh kuwa akiwa ndan haonekan jinsi ya kushutiwa pengine akatoa tamko kimkoa likimlenga mtu mmoja tu TLS Prezidaa.
Na mwili ule kuruka kiti cha nyuma sio kazi ndogo.Nimewaza harakahara kwanini Mh Lissu hakurukia seat ya nyuma chapchap, anyway Haya mambo hayana formula asee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Duh.. makavu live. Mdogo wangu bana.acha kupaste post za mange kimambi unajifanya na wewe mchambuzi.... hapo chini ungeandika mangekimambi ndo sosi ya uchambuzi wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimewaza harakahara kwanini Mh Lissu hakurukia seat ya nyuma chapchap, anyway Haya mambo hayana formula asee
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] jamaa amenikera sana... hii issue kaichambua juzi mange kimambi leo yeye kaileta huku halafu hamtaji mwenye habari[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Duh.. makavu live. Mdogo wangu bana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa na labda kwa kufanya vile ingeweza kusababisha mtikisiko wa gari maadui wakagundua kahama seat!Na mwili ule kuruka kiti cha nyuma sio kazi ndogo.
Wewe mtu wa ajabu sana, kereka hadi upasuke. Unafikiri kila mtu anamsoma huyo Mange wenu?[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] jamaa amenikera sana... hii issue kaichambua juzi mange kimambi leo yeye kaileta huku halafu hamtaji mwenye habari
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihiNimejiuliza sana inawezekana vipi gari ishambuliwe kwa risasi zaidi ya 20 dereva asijeruhiwe hata kidogo na TL ajeruhiwe na risasi chache?
Baada ya kufikiria sana nimegundua haya kwa hisia zangu
1.vioo tinted vimesaidia sana(utaelewa ukisoma namba mbili)
2.dereva kama ana uzoefu na ulinzi alimwambia TL alaze kiti na asishuke kwenye gari. Baada ya kulaza kiti kichwa chake kilikuwa usawa wa mlango wa nyuma. Ndio maana kuna risasi zilipigwa kwenye kioo usawa wa kichwa hazikumpata,zilizompata ni miguuni ambapo ukilaza kiti miguu bado inabaki mbele, na za tumboni kwasababu hata ukilaza na kurudisha kiti nyuma kama una kitambi tumbo linabaki mbele
3.dereva alishuka na kuinama au kusimama usawa wa mlango wa nyuma,hapa tena tinted ilisaidia kumficha.
Nawaza hapa lile agizo la kuondoa tinted lingetekelezwa sijui ingekuwaje!
Hizi ni hisia tu waliokuwepo ndio wanajua nini hasa kilitokea na bado sijapata jibu kwanini dereva aliamua kwenda nyumbani wakati amehisi anafuatiliwa.
Nimejiuliza sana inawezekana vipi gari ishambuliwe kwa risasi zaidi ya 20 dereva asijeruhiwe hata kidogo na TL ajeruhiwe na risasi chache?
Baada ya kufikiria sana nimegundua haya kwa hisia zangu
1.vioo tinted vimesaidia sana(utaelewa ukisoma namba mbili)
2.dereva kama ana uzoefu na ulinzi alimwambia TL alaze kiti na asishuke kwenye gari. Baada ya kulaza kiti kichwa chake kilikuwa usawa wa mlango wa nyuma. Ndio maana kuna risasi zilipigwa kwenye kioo usawa wa kichwa hazikumpata,zilizompata ni miguuni ambapo ukilaza kiti miguu bado inabaki mbele, na za tumboni kwasababu hata ukilaza na kurudisha kiti nyuma kama una kitambi tumbo linabaki mbele
3.dereva alishuka na kuinama au kusimama usawa wa mlango wa nyuma,hapa tena tinted ilisaidia kumficha.
Nawaza hapa lile agizo la kuondoa tinted lingetekelezwa sijui ingekuwaje!
Hizi ni hisia tu waliokuwepo ndio wanajua nini hasa kilitokea na bado sijapata jibu kwanini dereva aliamua kwenda nyumbani wakati amehisi anafuatiliwa.
Hilo halitaki tochi,wale wa Kibiti walikuwa wanagonga moja tu na haiachi mtu,.Hapa mawili tu au hawana ujuzi au hawakutaka kuua.Nimejaribu kuhesabu kitaamu risasi zilizopigwa ktk gari ya Tundu Lissu yanafika 20 kwenye kioo,kitasa na chini kidogo mpaka ktk tairi ya mbele kushoto.
Kwa jinsi zilivyopigwa inaonekana hao wahalifu sio watu waliojifunza matumizi ya silaha maana zimepigwa rondom bila mpangilio.
Wengi waliojifunza matumizi ya silaha huwa wanapiga kwa target na mpangilio maalumu.
Nakumbuka niliwahi kuanzia Uzi humu kama wito wa kukusanya silaha haramu toka kwa wanainchi kama Lyatonga Mrema alivyofanya.
Unajuaje kama ni watu wenye mafunzo lakini hawakutaka kuua na wala hawakutaka kujulikana kwamba ni watu wenye mafunzo, hivyo wakapiga makusudi kama watu wasio na mafunzo?
Mtu kakaa kwenye gari , utampigaje kwenye tumbo na miguuni na kukosa kichwa kama umetaka kumuua?
Vipi kama hawakutaka kumuua, walitaka kuweka hofu tu?
Kula sumu ufeUsijaribu kubdili nyekundu kuwa njano mkuu, watu wana hasira haijapoa
Nimejaribu kuhesabu kitaamu risasi zilizopigwa ktk gari ya Tundu Lissu yanafika 20 kwenye kioo,kitasa na chini kidogo mpaka ktk tairi ya mbele kushoto.
Kwa jinsi zilivyopigwa inaonekana hao wahalifu sio watu waliojifunza matumizi ya silaha maana zimepigwa rondom bila mpangilio.
Wengi waliojifunza matumizi ya silaha huwa wanapiga kwa target na mpangilio maalumu.
Nakumbuka niliwahi kuanzia Uzi humu kama wito wa kukusanya silaha haramu toka kwa wanainchi kama Lyatonga Mrema alivyofanya.
Hawakuwa makini kwenye kazi yao tu kwanza wasingeifata gari ya TL kwa nyuma wangetumia van wakaibandika sticker za dhl wangemsubiri ashuke kwenye gari lake bang! Wale washkaji walikuwa ni "trigger happy" tu
Niletee gettho iyo sumu. Uje kinyumenyumeKula sumu ufe
Kumbe mtu mwenyewe unakaa gheto. Duu najilaumu kujibu maana akili zenyewe za kighetogheto tuNiletee gettho iyo sumu. Uje kinyumenyume
Umeona mbali sana mkuu... anachomaanisha muweka topic tumeishakijua ila hana kipya.Usijaribu kubdili nyekundu kuwa njano mkuu, watu wana hasira haijapoa
Ulijua nimeoa, njoo tu ujionee motoKumbe mtu mwenyewe unakaa gheto. Duu najilaumu kujibu maana akili zenyewe za kighetogheto tu