likandambwasada
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,402
- 6,081
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku mkibingilika na ma-pick up yenu na ma-land cruisers yenu kwenye uvungu wa fuso kama ilivyotekea hapa majuzi huko marangu Moshi mkafa kadhaa mkitoka kwenye kuwadanganya wananchi na watu waliposhangilia humu mkalalamika msilalamike tena...Risasi zaidi ya 20 kushindwa kumuua mtu hata angekuwa kwenye kifaru cha jeshi, huo unaitwa MUUJIZA, na hiyo inaweza kuwa ndio turning point ya wazee wa kiki.
Kwangu utakuwa ni muujiza wa pili wa kitaifa baada ya ile ajali ya Mwakyembe...
Hehe..hata moja isiguse vital organ? ni zaidi ya.Hizo risasi 5 mwilini ni igizo,,hivi risasi ikiingia mwilini ni sawa na kuumwa kichwa?
Mmoja Wa watu waliofurahi (ndio maana unajichekea wakati wengine wanahudhuni) ni wewe. Chuki yako kwa viongozi Wa Chadema huwa iko wazi kabisaHahaha mie Najichekea tu
taharuki kila kona
kila mtu anaandika lake!!
Ngoja tuone
Hii vita mliyoianzisha ccm tusubiriNimejaribu kuhesabu kitaamu risasi zilizopigwa ktk gari ya Tundu Lissu yanafika 20 kwenye kioo,kitasa na chini kidogo mpaka ktk tairi ya mbele kushoto.
Kwa jinsi zilivyopigwa inaonekana hao wahalifu sio watu waliojifunza matumizi ya silaha maana zimepigwa rondom bila mpangilio.
Wengi waliojifunza matumizi ya silaha huwa wanapiga kwa target na mpangilio maalumu.
Nakumbuka niliwahi kuanzia Uzi humu kama wito wa kukusanya silaha haramu toka kwa wanainchi kama Lyatonga Mrema alivyofanya.
Hahaha mie Najichekea tu
taharuki kila kona
kila mtu anaandika lake!!
Ngoja tuone
Kwa nini watu kama hawa wasikamatwe kusaidia polisi?NI IGIZO HILO HAKUNA ALIYETAKA KUMUUA..
Haya bwana!
Hahahaha!