Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio washangae hao eti igizo risasi tatu tumboni ,,yaan maumivu ya risasi kweli heeloHehe..hata moja isiguse vital organ? ni zaidi ya.
Nimejaribu kuhesabu kitaamu risasi zilizopigwa ktk gari ya Tundu Lissu yanafika 20 kwenye kioo,kitasa na chini kidogo mpaka ktk tairi ya mbele kushoto.
Kwa jinsi zilivyopigwa inaonekana hao wahalifu sio watu waliojifunza matumizi ya silaha maana zimepigwa rondom bila mpangilio.
Wengi waliojifunza matumizi ya silaha huwa wanapiga kwa target na mpangilio maalumu.
Nakumbuka niliwahi kuanzia Uzi humu kama wito wa kukusanya silaha haramu toka kwa wanainchi kama Lyatonga Mrema alivyofanya.
Mkuu umemjibu vizuri huyu kiazi..... TL angeshuka kwenye gari asingepona.... walikuwa wanaguess kakaaje kwenye gari.... na inaonekana alikuwa lazima apigwe leo maana sio kwa risasi zote hizo mchana kweupe......Wewe huelewi, hayo matundu ukiyaangalia yalipigwa kwa mpangilio maalum,
Yaani mpigaji alikua akipiga pale ambako anadhani ndio mwili uko,
Kuanzia kichwani, shingoni, begani, kifuani, tumboni, kiunoni, pajani, miguuni, na kwenye tairi ili gari ishindwe kwenda,
Kupona kwa Lissu ni Mungu tu yuko pamoja nae
Amen....Ni wataalamu sana, ila ni Mungu tu ametaka kumlinda Lisu tu adui wa aibike.raia asiye na mafunzo ya silaha amuue Lisu,kwa kisa gani ? Alitaka gari lake ?hapana asinge liharibu kwa risasi.alitaka hela zake ?hapana.alitaka roho ya Lisu,ambayo Mungu Naye alikua akiilinda ili tujue uweza wa Mungu,unavyotisha.Mungu alijua yule aliyeomba aruhusiwe kumuua Lisu,alikua na dhamira ya dhati.Mungu akampinga kwa kuonyesha utukufu na nguvu zake dhidi ya muuaji huyu na walio mtuma.na bado tutashuhudia uweza wa Mungu,ktk hatari zaidi zinazoelekezwa na ccm kwa wapinzani,Amen.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimejaribu kuhesabu kitaamu risasi zilizopigwa ktk gari ya Tundu Lissu yanafika 20 kwenye kioo,kitasa na chini kidogo mpaka ktk tairi ya mbele kushoto.
Kwa jinsi zilivyopigwa inaonekana hao wahalifu sio watu waliojifunza matumizi ya silaha maana zimepigwa rondom bila mpangilio.
Wengi waliojifunza matumizi ya silaha huwa wanapiga kwa target na mpangilio maalumu.
Nakumbuka niliwahi kuanzia Uzi humu kama wito wa kukusanya silaha haramu toka kwa wanainchi kama Lyatonga Mrema alivyofanya.
Sasa wewe unategemea watu waliotumwa na Bashite watakuwa na target?? Wao wameinyeshwa namna ya kubonyeza kitufe na ilivyotokea mashine ilikuwa imemzidi uwezo ikawa inacheza. Unaambiwa mke yaani Bashite hajawahi kukosa katika mikutano zote za kujionyesha ikulu ila leo hakuwepo jiulize. Bashite alikuwa wapi. Bashite alikuwa busy kuwasiliana na vijana wake waliokuwa wanamfuatilia Lisu. Yaani Bashite ni Magufuli wa pili huyu Bashite atakufa kifo kibaya subirini mtakuja sema siku mojaNimejaribu kuhesabu kitaamu risasi zilizopigwa ktk gari ya Tundu Lissu yanafika 20 kwenye kioo,kitasa na chini kidogo mpaka ktk tairi ya mbele kushoto.
Kwa jinsi zilivyopigwa inaonekana hao wahalifu sio watu waliojifunza matumizi ya silaha maana zimepigwa rondom bila mpangilio.
Wengi waliojifunza matumizi ya silaha huwa wanapiga kwa target na mpangilio maalumu.
Nakumbuka niliwahi kuanzia Uzi humu kama wito wa kukusanya silaha haramu toka kwa wanainchi kama Lyatonga Mrema alivyofanya.
Wangeamua kummaliza si wangetumia RPG, walikuwa wanamtia vidonda tu ili awe bize.Idadi ya matundu ya risasi inaonyesha wazi kuwa lengo lilikuwa ni kummaliza kabisa.
dhamila inawasuta wana ccm inaelekea watu kama nyinyi mulikuwa kwenye kamati za kutekeleza hayo mauaji vipi ulihudhuria jana kupokea ripoti mujuwe mupandacho ndicho mutakachovunaNimejaribu kuhesabu kitaamu risasi zilizopigwa ktk gari ya Tundu Lissu yanafika 20 kwenye kioo,kitasa na chini kidogo mpaka ktk tairi ya mbele kushoto.
Kwa jinsi zilivyopigwa inaonekana hao wahalifu sio watu waliojifunza matumizi ya silaha maana zimepigwa rondom bila mpangilio.
Wengi waliojifunza matumizi ya silaha huwa wanapiga kwa target na mpangilio maalumu.
Nakumbuka niliwahi kuanzia Uzi humu kama wito wa kukusanya silaha haramu toka kwa wanainchi kama Lyatonga Mrema alivyofanya.
Hivi Leo hakuwepo? WhySasa wewe unategemea watu waliotumwa na Bashite watakuwa na target?? Wao wameinyeshwa namna ya kubonyeza kitufe na ilivyotokea mashine ilikuwa imemzidi uwezo ikawa inacheza. Unaambiwa mke yaani Bashite hajawahi kukosa katika mikutano zote za kujionyesha ikulu ila leo hakuwepo jiulize. Bashite alikuwa wapi. Bashite alikuwa busy kuwasiliana na vijana wake waliokuwa wanamfuatilia Lisu. Yaani Bashite ni Magufuli wa pili huyu Bashite atakufa kifo kibaya subirini mtakuja sema siku moja
hapana mulitaka kumuuwa vidonda risasi 19 kanyweni mvinyo sasaWangeamua kummaliza si wangetumia RPG, walikuwa wanamtia vidonda tu ili awe bize.
Duh. Watu wana miungu mingi hadi yenye mioyo ya nyama [emoji4]we mkuu moyo wa nyama MUNGU HEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
maadui ni ccm na mwenyekiti wa ccm na mwanawe bashitetrue ila kuna watu wanatamani waambiwe ni ccm tuu watalazimisha mpaka basii yaani hadi unashangaa kwani lissu hana maisha mengine zaidi ya siasa ?hana maadui nje ya siasa?? ...nahisi watu wamegeuza watu miungu...tusubiri hizi kiki zinavyotafutwa kwa nguvu
bado tuko hai tatizo ajira