Matundu 19 ya Risasi Katika Gari ya Tundu Lissu.. Hao wahalifu hawana mafunzo ya kitaalamu ya silaha!

Matundu 19 ya Risasi Katika Gari ya Tundu Lissu.. Hao wahalifu hawana mafunzo ya kitaalamu ya silaha!

Sasa wewe unategemea watu waliotumwa na Bashite watakuwa na target?? Wao wameinyeshwa namna ya kubonyeza kitufe na ilivyotokea mashine ilikuwa imemzidi uwezo ikawa inacheza. Unaambiwa mke yaani Bashite hajawahi kukosa katika mikutano zote za kujionyesha ikulu ila leo hakuwepo jiulize. Bashite alikuwa wapi. Bashite alikuwa busy kuwasiliana na vijana wake waliokuwa wanamfuatilia Lisu. Yaani Bashite ni Magufuli wa pili huyu Bashite atakufa kifo kibaya subirini mtakuja sema siku moja
Hongera,Peleka taarifa Polisi kwa kumjua mfanya shambulio.
 
Risasi zaidi ya 20 kushindwa kumuua mtu hata angekuwa kwenye kifaru cha jeshi, huo unaitwa MUUJIZA, na hiyo inaweza kuwa ndio turning point ya wazee wa kiki.
Kwangu utakuwa ni muujiza wa pili wa kitaifa baada ya ile ajali ya Mwakyembe...
Ile kupewa ngozi ya mamba?
 
Matundu mengi ndo unahisi ni unprofessional?
Wamesema ile ni machine gun, hao jamaa ni professional kabisa machine gun ndivyo inavyotumika, unamimina nyingi kwejye target. Hamna anayejua hali ya Lissu sa hivi yaani akipona bila tatizo lolote itakua bahati sana.

Wanaotaja watu, si vizuri kunyosha kidole kwa mtu sasa hivi, ni ngumu sana kujua nani yupo nyuma ya hii kitu, unless una ushahidi bora ukae kimya.
 
96e3cdf393abfd843a3d2ab1100c7279.jpg


mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Hizo barua za kukopi na kupaste then u edit ndiyo madhara yake hayo
 
ni mpango wa MUNGU katika kumwinua tundu lisu, wakati mwingne binadamu unaweza mfanyia uovu binadam mwenzio kwa lengo la kumshusha kumbe ndo unampandisha zaidi. funzo kwa waovu
 
Hoja ya kipuuzi kabisa,yule aliyemtolea Nape pisto hadharani amesomea au hajasomea?
usituletee achambuzi wakipuuzi humu bora ukachambue mchele upike au Kanye kisha uchambue mavi yako ulielewe tumbolako...
KATIBA MPYA NI MUHIMU SAANA
Sasa yule muhuni tu kasomea wapi?
 
Naamini Mh. Lisu atapona. I believe that, with time, the truth will finally prevail and the evil will be exposed.
 
Back
Top Bottom