Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Mbwa katumwa kufanya kazi ya Simba....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbwa katumwa kufanya kazi ya Simba....
NI IGIZO HILO HAKUNA ALIYETAKA KUMUUA..
Hongera,Peleka taarifa Polisi kwa kumjua mfanya shambulio.Sasa wewe unategemea watu waliotumwa na Bashite watakuwa na target?? Wao wameinyeshwa namna ya kubonyeza kitufe na ilivyotokea mashine ilikuwa imemzidi uwezo ikawa inacheza. Unaambiwa mke yaani Bashite hajawahi kukosa katika mikutano zote za kujionyesha ikulu ila leo hakuwepo jiulize. Bashite alikuwa wapi. Bashite alikuwa busy kuwasiliana na vijana wake waliokuwa wanamfuatilia Lisu. Yaani Bashite ni Magufuli wa pili huyu Bashite atakufa kifo kibaya subirini mtakuja sema siku moja
OkHii hoja yako kabla ya kuileta ilitakuwa uje kwanza walkua wamesimama umbal gan kutoka kwenye gar.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile kupewa ngozi ya mamba?Risasi zaidi ya 20 kushindwa kumuua mtu hata angekuwa kwenye kifaru cha jeshi, huo unaitwa MUUJIZA, na hiyo inaweza kuwa ndio turning point ya wazee wa kiki.
Kwangu utakuwa ni muujiza wa pili wa kitaifa baada ya ile ajali ya Mwakyembe...
Sasa yule muhuni tu kasomea wapi?Hoja ya kipuuzi kabisa,yule aliyemtolea Nape pisto hadharani amesomea au hajasomea?
usituletee achambuzi wakipuuzi humu bora ukachambue mchele upike au Kanye kisha uchambue mavi yako ulielewe tumbolako...
KATIBA MPYA NI MUHIMU SAANA
Kumbe wewe ni mpuuzi kiasi hiki...NI IGIZO HILO HAKUNA ALIYETAKA KUMUUA..
wapi mibongo ni maitiNawaza tu kwa mfano hii nchi. kila mtu ashike bunduki hivi inaweza ikawaje?
Sent using Jamii Forums mobile app