Matundu 19 ya Risasi Katika Gari ya Tundu Lissu.. Hao wahalifu hawana mafunzo ya kitaalamu ya silaha!

Matundu 19 ya Risasi Katika Gari ya Tundu Lissu.. Hao wahalifu hawana mafunzo ya kitaalamu ya silaha!

Fikiria nje ya boksi kijana.

Unafikiri walikosa walikosa shabaha? au walikosa silaha nyingine ndo wakatumia SMG? (as it is said)

Unafikiri walikosea kumlenga au walipiga random ili kuwapoteza watu kama wewe labda?
Sio wajinga kiasi hiko. yaani ukose kutoka kwenye kioo hadi tairi? au chini ya mlango? haingii sana kwenye hii medula.

Anyway; Bado tunaendlea kusubiria repoti ya waheshimiwa juu ya Ben Saanane, Miili 8 iliokutwa Ruvu, Miili 10+ baharini, Aliemtishia Nape, Waliovamia ile studio na ofcourse hii ya Lisu.

Najiuliza tu, Hivi Chama na Serilkali ilitoa salamu au kukemea majanga yaliotokea karibuni?
1. Ajali Arusha, Miili iliookotwa Baharini na Mto Ruvu?, Watoto waliouwawa Arusha, Shambulio la Clouds, Kupotea kwa Saanane?

Ila angalao kwa hili la jana, inaonekana wanampenda sana, walao wamekua wa kwanza kutoa salamu za pole na kumuombea.
Wewe uliyefikiri nje ya box umepata majibu gani?
 
Dah mkuu nyuzi zinatosha sasa

Na usikute hao hao wanakazana kuja na ' threads ' za tukio zima la Lissu wakawa ama ndiyo Waratibu wakuu wa mpango wenyewe au ndiyo waliofanya tukio zima hivyo hapa wanapima tu upepo ili wajue jinsi ya kucheza na akili zetu. Mimi nawaangalia tu kiumakini.
 
Umewahi kuishika smg??? Kwa namna zilivopigwa ni kazi ya mtaalam aliyelenga aka sniper. Alihakikisha hamkosi kama amekaa kiti cha mbele na hivyo ndivyo ilivyotokea
Tumecheza nazo sana hizo..aliyepiga sio mtaalam wa kutumia silaha.
 
Habari zenu familia ya JF. Kwa hii idadi ya risasi alizomiminiwa Lisu ni wazi walikuwa wanataka kumua.Saivi watakuwa wanalaumiana sana kwa kukosa shabaha.
Usiwe zoba wewe!
Hii kitu ilikuwa staged na imeenda kama ufipa walivyopanga! Bahati mbaya wameshtukiwa tena.
 
Hakuna aliyekosa shabaha pale....
 
Hivi haiwezekani ikawa ni mbinu ya weupe kudivert attention toka kwenye ripoti au kutuchonganisha na serikali maana CIA walishatumia mbinu kama hizo hata Iran...
Ndiyo nachokiona hicho mkuu.Magufuli ametikisa maslahi ya wengi Sasa Kuna watu wanataka kumchafua
 
Ndiyo nachokiona hicho mkuu.Magufuli ametikisa maslahi ya wengi Sasa Kuna watu wanataka kumchafua
Yanawezekana maana sizani watu wa kitengo wanaweza amua fanya tukio siku mkuu ana press ya ishu nyeti vile..

hii haijafanywa na system
 
Na usikute hao hao wanakazana kuja na ' threads ' za tukio zima la Lissu wakawa ama ndiyo Waratibu wakuu wa mpango wenyewe au ndiyo waliofanya tukio zima hivyo hapa wanapima tu upepo ili wajue jinsi ya kucheza na akili zetu. Mimi nawaangalia tu kiumakini.
Kweli kabisa ...sijaona kabisa comments zako baada ya tukio.Mitandao inatoa taarifa nyingi sana zipo za kweli zipo za kutega zipo za kupima wachangiaji n.k umakini ndiyo Kitu muhimu
 
Yanawezekana maana sizani watu wa kitengo wanaweza amua fanya tukio siku mkuu ana press ya ishu nyeti vile..

hii haijafanywa na system
Kabisa mkuu
 
Nimekusaidia na wewe uone mwenyewe, kama huoni sio kosa langu.
Sasa kilichokufanya u criticize maoni yangu ni nini wakati wewe mwenyewe huna Kitu...halafu umekaza tu fikiria nje ya box.Wewe mwenye kifikiri nje nje ya box huna cha kifikiri!!
 
Kweli kabisa ...sijaona kabisa comments zako baada ya tukio.Mitandao inatoa taarifa nyingi sana zipo za kweli zipo za kutega zipo za kupima wachangiaji n.k umakini ndiyo Kitu muhimu

Katika matukio kama haya huwa ' sikurupuki ' kutoa yangu ya moyoni badala yake huwa ' nadukua ' zangu tu za chini kwa chini kisha ' naunyuti ' huku nikiwaangalia wanaobahatisha ' kubashiri ' na ' kuelezea ' tukio wakiwalisha Watu matango pori tupu.
 
Back
Top Bottom