Matusi na kejeli mitandaoni vimepungua tangu tarehe 5 Novemba

Yani kabisaaa wewe ndiyo baba mwenye familia yake kabisa yanii tena una watoto wapo chuo ukawaza kabisa kabisa uandike ulichoandika,
Lkn matusi yamepungua. Mlituogesha mitusi ya haja sana
 
Nakumbuka kuna timu kombe la dunia walifunga Argentina, kwao walifanya mapumziko.
Km Yanga wameandaa mabango ya 5-1, timu changa kisoka hufanya hivyo km Yanga
Kama umeifunga Simba, Siku Yanga akiifunga Al Ahly mtafanya documentary na itakuwa mapumziko siku hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…