Maua sama nyota ing'aayo kwenye giza nene

Kwani msanii lazima uwe na sura mzuri? Mimi naona sura ya msanii ni lyrical contents zake yaani mashairi na mpangilio,melody na ujanja katika mziki.Hio nsio sura yake.Wewe kama una angalia sura nzuri ya msanii pole sana kwa huo Utu wako.Na kwa taarifa yako,Maua Sama hana sura mbaya,labda kama hujui definition ya sura mbaya.
 
Hivi kati ya MAUA SAMA,RUBY na NANDY nani anajua zaidi? Panga hyo list.
 
Ulivyosema ana Sura mbaya nimetokwa mchozi! Ubaya wa sura yake ni upi mkuu? Au kwa vile ni mweusi? Ungekua karibu yangu tungepigana vibaya...
 
Ulivyosema ana Sura mbaya nimetokwa mchozi! Ubaya wa sura yake ni upi mkuu? Au kwa vile ni mweusi? Ungekua karibu yangu tungepigana vibaya...
Mimi sipiganag na vitoto kama nyie ningekuzabua makofi ya puan ma mdomon had ushike adabu yako
 




Mkuu wanaposema uzuri wa mtu upo machoni mwako wewe muonaji hawakukosea. Ila hii sura karibia kila mtu ameridhika iko vizuri bhana. Hata muziki wake ni mzuri pia.

Pengine wewe utakua na face blindness.
 
Acha zarau ww unajua sura mbaya?,au we mzr?tuwe na ustaarabu ye amekuwa nyani mpka awe mbaya.
 
Anazingua...uyo ye mzr mpka aite mwenzie mbaya?;
 
Mkuu naomba uedit huu uzi wako,umeanza vzr ila umeharibu hapo eti ana sura mbaya sana,acha kukosoa uumbaji wa Mungu mkuu
 
Face is the money maker.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…