Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nayi wapendwa katika bwana husika na kichwa cha habari hapo juu
Mziki wa sasa umekuwa na changamoto nyingi sana hasa kwa wadada maana hukumbana na vikwazo vingi sana either kutoka kwenye familia anayotoka au kutoka kwa wadau mbali mbali wa mziki
Maua sama ni msichana mpole na mchangamufu sana ni msanii ambaye anasimamiwa na mwanake kama meneger
Huyu dada anasura mbaya sana kusema ukweli lakina ana mziki mzuri sana ambao ukiusikia lazima ukuvute ni mdada ninaye mpenda sana kimwili na kiroho
Kafanikiwa sasa anasikika hadi nje ya mipaka ya tanzania nimbunifu sana kwenye mziki na ana ngoma kibao ambazo katoa na zote ni kuntu namtabiria kufika kimataifa
Zaman nilikiuwaga NANYUPU
LONDON BABY
Mziki wa sasa umekuwa na changamoto nyingi sana hasa kwa wadada maana hukumbana na vikwazo vingi sana either kutoka kwenye familia anayotoka au kutoka kwa wadau mbali mbali wa mziki
Maua sama ni msichana mpole na mchangamufu sana ni msanii ambaye anasimamiwa na mwanake kama meneger
Huyu dada anasura mbaya sana kusema ukweli lakina ana mziki mzuri sana ambao ukiusikia lazima ukuvute ni mdada ninaye mpenda sana kimwili na kiroho
Kafanikiwa sasa anasikika hadi nje ya mipaka ya tanzania nimbunifu sana kwenye mziki na ana ngoma kibao ambazo katoa na zote ni kuntu namtabiria kufika kimataifa
Zaman nilikiuwaga NANYUPU
LONDON BABY