Hakuna maendeleo kama Kuna uhalifu.
Nchi zote zilizoendelea walianza kuutokomeza uhalifu na wanaounga mkono Wahalifu. Afrika uhalifu ni mkubwa sana . Hata Tanzania. Watu wansjenga nyumba Kwa gharama kubwa sana. Mageti ,maukuta marefu mpaka Hewa inakosekana kisa Wahalifu. Hizo pesa za kujenga maukuta zingetumika hata kutoa sadaka Kwa maskini . Leo kila mtu ni ukuta na mageti ya chuma kwenye milango. Uhalifu ni mkubwa sana. Wahalifu wananyima watu usingizi. Wahalifu wanatamba na Wana mtandao mkubwa ndani na nje ya nchi.
Wahalifu ni adui mkubwa wa maendeleo ya mtu mmoja mmoja.
Kwa Sasa teknolojia ni kubwa sana haihitaji Tena uchunguzi mkubwa kuwabaini Wahalifu. Kwa Sasa Polisi wanatumia teknolojia kuwabaini Wahalifu.
Hivi Panya rodi unafikiri wanaowatuma ni watu unaoweza kuwabaini Kwa kutaka ushahidi wa kuwaona kwenye tukio. Wale wanaonekana kwa kutumia teknolojia. Polisi Kwa Sasa hawakamati mtu Kwa kimsingizia . Na dawa ya hao Wahalifu wanaotengene Vikundi vya kihalifu ni kuwapiga risasi TU hakuna namna ya kuwaacha. Ukiwapeleka mahakamani wanatoka asubuhi saa Tatu. Wanahonga na Wanapesa ,watahonga Wapelelezi,watahonga mahakimu ,watahonga waendesha mashitaka ,wataweka mawakili. Raia waliotoa Taarifa watadhiriwa na hao Wahalifu au hata kuuawa.
Hao wanaosema uchunguzi ufanyike ni wanufaika wa uhalifu.
Pesa za ugaidi zimeanza kupenyezwa nchini hili liko wazi.
Na mbinu za wale Magaidi wanazotumia ni kuhakikisha Polisi hawana nguvu ya kupambana nao. Na wakishafanikiwa kulifanya Jeshi la Polisi kuwa kama Chui wa Karatasi basi watakarisha mipango yao Kwa muda mfupi na baadae utaona shughuli za kigaidi zikishamiri.
Mapesa ya kigaidi yameshaanza kumwagwa hasa kwenye Chama Cha ACT Panya road. Hiki Chama kimulikwa sana. Ni ukweli kabisa ni chama hatari. Wamesikia Mwinyi anaimarisha Uchumi wa Zanzibar na hata mpango wa kuchimba mafuta. Wale Mabeberu hawapendi mafuta yachimbwe Zanzibar na hata Tanzania.
Wanawatumia wanaharakati na wanasiasa na waandishi wa habari uchwara.
Serikali iwe makini sana na Hawa mawakala wa ugaidi na uhalifu.
Kila mtu afanye kazi yake kihalali na sio wizi.
Wahalifu wa kutumia silaha wanatakiwa watokomezwe kwa risasi sio Kwa pingu.
Anayewatetea Magaidi na mbinu za ugaidi na mikakati ya kigaidi naye apigwe risasi mchana kweupe.
Hakuna maendeleo ya watu bila usalama.
Nchi zote zilimaliza uhalifu Kwa mtutu wa bunduki sio karatasi na kalamu.
Tukiwa na Majeshi legelege Kuna siku hata hakimu atapigwa makofi na watuhumiwa halafu tutasema ni haki yao kujitetetea. Hakimu na Jaji anashika kalamu na karatasi lakini usalama wake na ujasiri wake ni Kwa sababu Kuna Polisi aliyeshika bunduki yenye risasi ya moto inayoua binadamu asiyetii SHERIA . Hakuna kutii SHERIA kokote Duniani kama hakuna nguvu ya risasi.
Kuna mambo Mengi ya kupigania lakini sio kupigania Wahalifu . Hapana.
Kuna Mambo ya Bima ya Afya.
Kuna mambo ya Ada kubwa ya vyuo wakati wazazi ni wale wale walioshimdwa kulipa Elfu 20 ya ada shule ya sekondari. Chuoni wanatakiwa kutoa ada Mili mbili. Haya wanaharakati wapumbavu hawayasemei. Hawajui kuwa watu wanahitaji maisha yawe marahisi na sio kuona Wahalifu wakistawi.
Polisi wakiambiwa hata wasiwe na bunduki hasara sio kwao hasara ni Kwa jamii ambayo itawapa Wahalifu heshima.
Matumizi ya serikali ni makubwa sana wanaharakati na Chama Cha panyarodi na Magaidi Cha ACT hawasemi. Hii nchi Kwa mwaka inaagiza magari Mengi sana ya kifahari Kwa watawala wakati hawaagizi Ambulance kila kata. Wanasiasa uchwara hawasemi wanataka kudhibiti Polisi ili ugaidi uingie kirahisi.
.Amiri Jeshi mkuu inabidi awe makini na wanasiasa na wapambe wa ugaidi Wana mtandao mkubwa sana.