SI KWELI Mauaji mapya Kibiti: Serikali iweke hadharani idadi ya askari na raia waliouawa mpaka sasa

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Wafia dini wenzako hao
 
Wewe unapingana nao wakati wenyewe ndiyo kauli mbiu yao.
Wanapoteza watu maboya,

Mimi ni Muislam na nnasema kama kuna Muislam anahusika basi auwawe hapo hapo. Huyo atakuwa ni Muislam jina, siyo Muislam imani.

Waislam tunalaani vikali kitendo chochote kinachoashiria uvunjifu wa amani.
 
Nina miaka sasa jf sijawahi kudanganya Wala kukutana na mpumbavu kama wewe

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
JF ina maudhi na watu wenye akili za ajabu sana. Hii tabia ya kuitana uongo imeshamiri sana sababu inaonekana ni ufahari- bullying. Inakwaza sana kuitwa Muongo. Unajiuliza habari sensitive kama hii unawezaje tuhumu uongo? Yaani habari inayogusa usalama wa taifa, inawezaje kuwa uongo, knowing madhara anayoweza pata mtoa habari. Inakera sana hii tabia.
 
Humu Kuna vijana wa ajabu sna

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
Azron alienda wapi daah[emoji24][emoji24][emoji24][emoji33] kumekuchaa tena ukandaa huooo
 
Wanapoteza watu maboya,


Mimi ni Muislam na nnasema kama kuna Muislam anahusika basi auwawe hapo hapo. Huyo atakuwa ni Muislam jina, siyo Muislam imani.

Waislam tunalaani vikali kitendo chochote kinachoashiria uvunjifu wa amani.
Nakazia
 
Mimi hii taarifa nashawika kuamini kwa kiasi fulani.Lakini nina mashaka na hiyo idadi ya mauaji.Mwananchi imeripoti kuvamiwa na kuuawa kwa Mwalimu wa kike Msemwa na Mtoto wake kujeruhiwa vibaya .Na Serikali ikiiamini hii taarifa itachukuwa hatua mapema.
 
Wanajua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…