SI KWELI Mauaji mapya Kibiti: Serikali iweke hadharani idadi ya askari na raia waliouawa mpaka sasa

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Hawakusema kuhusu na askari pia

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
Pole sana kwa kufiwa na ndugu zako. Swala lolote la usalama wa wote, ni paramount, tunaomba uweke taarifa ya kina. Kama ni kweli, hao wanaoficha wanatakiwa kuwekwa kwenye kundi la wauaji, kwa maana hawataki watu wachukue tahadhari.
 
Hiyo njia siku hizi ina magari mengi ya kifahari yenye watu wenye ndevu mithili ya DW, siku moja nilitazama nikajiuliza hivi hawa wanakwenda wapi?
Na kupitia DP, wataingia wengi.
 
Kiti kakalia ndugu yao...bandari zimepewa ndugu zao hiyo jihadi wanamfanyia nani?
Wakati mwingine ugaidi huwa unafanywa na upande mwingine au watu ambao wana malengo mabaya na au kutaka kufanikisha kitu
Haya mambo ni mapana sana katika Dunia hii

Wanaweza wakasontea kidole huko kumbe ni huku, tafakari sana hata Oclahoma bombing USA walitangaza ni waislam magaidi kumbe alikuwa ndugu yao muzungu
 
Hao hawawezi kumpindua muislam mwenzao. Umeona pale walipofanya mauaji ya kutisha kule Kenya. Walikuwa wanauliza dini yako, ukisema ni muislam, unaulizwa maswali ya dini ya kiislam, ukishindwa kujibu kwa usahihi, au ukasema ni mkristo, unauawa mara moja.
 
Pia katika awamu hii kuna ongezeko la vijana Watanzania wanaoenda kujiunga na vikundi vya kigaidi nje ya nchi.
Kila anapoingia rais muislam ,vijana wengi sana hupelekwa Somalia kujifunza ugaidi
 
Hawa Magaidi wamerudije tena huko MKIRU wakati baada ya Oparesheni ile Kali iliyopelekea Wengi wao ( Magaidi ) Kuuwawa kuliundwa Kambi ya Kijeshi huko huku Makomandoo wakimwagwa kwa Wingi pamoja na Wanajeshi wa Kawaida na Watu wa Usalama wa Taifa ( TISS ) nao wamemwaga kwa Uwingi huko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…