SI KWELI Mauaji mapya Kibiti: Serikali iweke hadharani idadi ya askari na raia waliouawa mpaka sasa

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Wanapoteza watu maboya,


Mimi ni Muislam na nnasema kama kuna Muislam anahusika basi auwawe hapo hapo. Huyo atakuwa ni Muislam jina, siyo Muislam imani.

Waislam tunalaani vikali kitendo chochote kinachoashiria uvunjifu wa amani.
Asante Sana mkuu. Umeandika kwa busara.
 
Wameuwawa kwa kuwa ni askari pia mkristo

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Huu ni ushetani wa hali ya juu. Mtu anafanya mambo ya kishetani halafu anajiita ana imani kali!! Imani kali ya shetani? Kuna watu imani zinawafanya wawe mashetani. Fikiria mtu kama Faizafoxy, bibi mzima alivyo na chuki na watu wasio waislam, unadhani mtu kama huyo akiambiwa akaue wasio waislam, ataacha kushangilia?

Kama kuna mtu anafanya mauaji kwa madai ya imani ya kidini, viongozi wakuu wa hiyo dini wakamatwe, wahojiwe, na ikiwezekana washtakiwe kwa mafundisho ya kishetani yanayosababisha mauaji dhidi ya binadamu.
 
Hii taarifa ifanyiwe kazi maana mdharau mwiba mguu utaota tende.
 
Hiyo njia siku hizi ina magari mengi ya kifahari yenye watu wenye ndevu mithili ya DW, siku moja nilitazama nikajiuliza hivi hawa wanakwenda wapi?
huyu kima wanamchekea, waache waendelee kumchekea.......
ame-overstay hapo, aondolewe kwa usalama wa wengi!
 
Jeshi linafanya kazi kwa amri toka kwa amiri jeshi, mengine unaweza kujiongeza, sio mpaka utafuniwe kilakitu
 
Mkuu, kwa taarifa za Al Jazeera za leo ni kwamba, Rais Zelensky wa Ukraine amewafuta kazi Military Recruiters wa mikoa yote nchi nzima kwa makosa ya rushwa na kupenyeza watu kinyemela maeneo ya mipakani.

Kwa hayo maelezo hapo juu kaa ukijua ya kwamba, njaa haina mwenyewe. Njaa haijui mwanajeshi, jasusi wala Polisi.

Kwani unafikiri wanajeshi au jasusi hapendi kuishi maisha mazuri (watoto kusoma English medium) au hana ndugu wanaomtegemea?

KGB na CIA wamekuwa wakihonga majausi wa kila upande pesa nono kwa sababu mbalimbali ikiwemo kupewa nakala mbalimbali za siri.

Uzalendo huku tumbo lina njaa ni kazi ya bure kaka wakati wanasiasa wanachota millions of money na watoto wao.
 
Nina miaka sasa jf sijawahi kudanganya Wala kukutana na mpumbavu kama wewe

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Hao wanaofanya mzaha na maisha ya binadamu wenzao ni uzao wa shetani. Unamwua mtu na mkewe na watoto, halafu unasema ni jihadi! Hiyo itakuwa ni jihadi ya shetani.
 
Dah chuki zingine buana sasa Mwamposa!? jamani kha!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo ni kichaa. Hivi huko kote wanakofanya huo ugaidi, wamepelekwa na Mwamposa? Hao ni wafuasi wa shetani, sawa na wale wanaowaua wasomali wenzao kwa madai eti wanataka nchi iongozwe kwa sharia law! Ni ushetani wa hali ya juu. Hivi Mungu anashindwa kumwondoa mtu yeyote kwenye uso wa Dunia mpaka akasaidiwe na punguani wanaojiita wana imani kali!!
 
Hao wanaofanya mzaha na maisha ya binadamu wenzao ni uzao wa shetani. Unamwua mtu na mkewe na watoto, halafu unasema ni jihadi! Hiyo itakuwa ni jihadi ya shetani.
Hayo ni madhara ya indoctrination and brainwashing psychology. Mtu akiwa brainwashed vema, mbona Fanta atasema ni Coca na atabisha hilo mwaka mzima.
 
Kila anapoingia rais muislam ,vijana wengi sana hupelekwa Somalia kujifunza ugaidi
Soon ile mijadala ya mfumo kristo itaibuka tena... hii jamii ni ya hovyo sana.
 
Kuzuia taarifa za kinachojiri mpakani mwa Msumbiji na Tanzania na Cabo Delgado ni bad timing.

Serikali iwaunganishe wananchi wake kupambana na huyu adui ugaidi. Vyombo vyetu vya ulinzi na isalama vinaelewa input ya raia hasa uzalendo ukiwekwa mbele.
 
Hao 100% hawana uhusiano na Uislam.
Hivi walioteka ndege na kuwaua watu mamia kule world trade centre, hawakuwa waislam?

Mohamed Atta (Egyptian),
Abdulaziz al-Omari (Saudi Arabian), Wail al-Shehri (Saudi Arabian),
Waleed al-Shehri (Saudi Arabian), Satam al-Suqami (Saudi Arabian).

Mehmet Ali Agca, aliyempiga risasi Papa John Paulo wa 2, hakuwa muislam?

Wanaojilipua kule Somalia, kuwaua binadamu wenzao, wakidai wanataka Somalia iongozwe kwa sharia law, siyo waislam?
 
Nikupe ushahidi upi sasa ?

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Labda anataka umwingize kaburini mwa ndugu zako ili aamini kuwa magaidi wenye siasa kali kweli yamemwua ndugu yako. Ukimwonesha kaburi, bado atasema mmejenga tu, ndani hakuna mwili wa marehemu.
 
Tatizo hio taarifa kwenye gazeti la mwananchi siioni. Mtoa mada piga hata screenshot utuwekee hapa ilo gazeti.
 
Labda anataka umwingize kaburini mwa ndugu zako ili aamini kuwa magaidi wenye siasa kali kweli yamemwua ndugu yako. Ukimwonesha kaburi, bado atasema mmejenga tu, ndani hakuna mwili wa marehemu.
Mpuuzi huyu hapa tumeomba serkali itoe tamko la kuwa weka sawa raia yeye analeta ujinga

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
Mpuuzi huyu hapa tumeomba serkali itoe tamko la kuwa weka sawa raia yeye analeta ujinga

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Tubishane, tukosoane, tutofautiane, lakini siyo kuuana. Kuuana ni ushetani, ni unyama wa hali ya juu. Mtu kama anaona kifo cha binadamu mwenzake ni jambo la mzaha, huyo ina maana dhamira yake, kama mwanadamu, imekufa.

Wape pole waliopatawa na magumu haya. Kila aliyewahi kufiwa anajua machungu ya kufiwa. Lakini kifo cha kuuawa, kwa vyovyote kitakuwa kinaumiza zaidi kuliko kifo cha kawaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…