SI KWELI Mauaji mapya Kibiti: Serikali iweke hadharani idadi ya askari na raia waliouawa mpaka sasa

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Tukushukuru kwa taarifa uliyoleta hapa.

Naona kila mtu anao mchango wake wenye manufaa katika jukwaa hili, bila kujali anasimamia wapi kisiasa.

Ninahofia, safari hii Tanzania inaweza kuchakazwa sana, pengine ndio mwanzo wa hali ile inayoonekana Somalia, au kule nchi za Sahel, Mali Niger, Burkina Faso na kwingineko.

Kidogo Kenya wao wamekwisha jizoelea na hali hiyo Kaskazini Mashariki ya nchi hiyo.
Pengine na sisi itatulazimu tuizoee tu, na maisha yaendelee, pale inapowezekana.

Hao jamaa watakuwa wamechagua wakati mzuri sana wa kulianzisha pya.

Sasa tutafanyeje, tukawaombe msaada Rwanda, maanake ndio pekee wanaoonekana kuwamudu wa aina hiyo.
 
Kwani sababu ya kuuana ni nini mkuu 'Bams'?
Mi nadhani ni kuwafanya wote wanaopingana na kundi hilo la wauaji, wajisalimishe kwa matakwa ya.
Ikisha kuwa hivyo, mauaji yanakoma. Mfano mzuri ni Afghanistan, sasa hivi kwa vile kila mtu ali'submit' kwa matakwa ya mjahdin, nchi ipo shwari.

Hapa kwetu inawezekana hao watu wanatafuta eneo la kusimika himaya yao. Wakifanikiwa kuliteka eneo lote la mwambao, watakuwa wamefanikiwa sana, sidhani kuwa watakuwa na hamu ya kupeleka vita vyao mbali na eneo hilo.
 
Nimesoma muda si mrefu tweeter akaunti inavyoitwa Tanzania Abroad kuwa kuna miili 12 ya watu imegunduliwa Kibiti.
Taarifa hiyo inatoa wito kuwa kama kuna mtu ana Ndugu hajulikani alipo atoe taarifa.
 
Mkuu Rwanda? Serious.......
Unataka kumleta PakaShume Jikoni?
This Saga is Complicated, lakini amini kwamba Rwanda sio watu wema.
 
Upo serious Mkuu?
Ni mchango wako ndio, na upo huru kuutoa lakini dah......
 
Pande hizi mambo hufanyika kimya kimya, sio kama huko mbele
 
Yaani JF nanyi mmefikia hatua ya kusema hii taarifa uzushi kwakuwa jeshi la polisi limekanusha? Mnakumbuka "SISITV" ya Kamanda "ZIRO"? Mimi nilitarajia nyinyi ndiyo mmeconfirm kwamba ni uzushi kwasababu ya kufanya uchunguzi kwa kumtuma mwanahabari wenu wa uchunguzi/Ukachero na kuja na taarifa.

Taarifa za polisi si za kuziamini kwa 100%.
 
Hi Jamii Check ni siasa tu yaani unapinga uzi kwa kutumia taarifa ya taasisi inayotuhumiwa kuficha ukweli...nilijua Mn communicate na watu waliopo ground tupate taarifa za uhakika kumbe another trash from government sources.
 
Hivi yule adolf hitler aloua mamilioni ya watu hakuwa mkristo? Aliyemua JF Kennedy hakuwa mkristo? aliyemua John Lennon hakuwa mkristo? Aliyemua Malcom X je? Yule alieua vijana 80 katika kambi ya vijana kule oslo mwaka 2011 hakuwa mkristo? Hivi waliopandikiza bomu na kuua watu tele omagh hawakuwa wakristo? Infact mabomu yote yaliopandikizwa na kuua watu tele na IRA nchini uingereza hayakupandikizwa na wakristo? Hivi mauaji na chuki zinazoendele hadi leo nchini northern ireland si kati ya wakristo wa dhehebu moja dhidi ya dhehebu jengine? Hivi

Kuna mifano mimgi tu ambayo nikaa hapa kukutajia nitachukua zaidi ya mwezi kwa hivyo bora nikupe point yangu.Poiny yangu ni kuwa wauaji ni wauaji tu, pande zote wapo na wanatumia dini kwa sababu zao wenyewe, Usione mtu kaua na uka generalize faith nzima kuwa ndio tabia zao.
 
Hakuna pahala Mkristo ataua au atafanya jambo afu aseme anampigania Mungu.
Hakuna jihad kwenye Ukristo.
Hao wote uliowataja hawakufanya hivyo kwakuwa ni wakristo.
Walifanya hivyo kwa ideology zao.

Aina ya mafundisho wanayofundishwa waislam toka wakiwa watoto, kama mtu asipokuwa timamu ni rahisi kurubunika akidhani kwamba anampania Mungu.
Kumbe baadhi tu ya washenzi wanamtumia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…