Mauaji Mbeya: Afisa Ustawi wa Jamii adaiwa kunyongwa hadi kufa

Mauaji Mbeya: Afisa Ustawi wa Jamii adaiwa kunyongwa hadi kufa

MAKULUGA

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2011
Posts
7,828
Reaction score
10,527
1644144959425.png

Afisa Ustawi wa Jamii Mahabusu ya Watoto Mbeya, Gloria Kibira amekutwa amefariki nyumbani kwake ndani ya Mahabusu hiyo ,Jijini Mbeya!

Taarifa za awali zinaonyesha kuwa alikutwa amefariki mida ya saa tatu usiku tarehe3.2 baada ya marafiki zake kumtafuta Kwa simu na akawa hapokei.

Watoto wake walikuwa shuleni, na baada ya kurudi nyumbani walidhani mama yao hajarudi kazini na wakaamua kupika, kula na kulala! Baadaye wafanyakazi wenzake waligundua maiti chumbani kwake.

Pamoja na taarifa rasmi ya tukio Hilo haijatolewa, lakini inasemekana kuwa huenda Afisa huyo aliuawa
Marehemu ameacha watoto watatu.

Baadhi ya majirani wameeleza kuwaa ulinzi ktk eneo Hilo linaloendeshwa na Wizara ya Maendeleo ya Jamii sio madhubuti.

Mwili wa marehemu umesafirishwakwenda Bukoba kwa mazishi
 
Alikuwa ana mume au mahawara tu? Hawa ma single mother wanapochanganya mahawara hujiletea hatari kwa wivu wa kimapenzi.

Au huenda alikuwa mgonjwa, mahabusu ya watoto kwa nini isiwe na ulinzi imara kama kwa wakubwa? Kama suala ni ulinzi hafifu huo ni uzembe wa mamlaka husuka, hata hivyo poleni wafiwa, ndugu, jamaa na marafiki
 
vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifoooooooooooooooooooooooo!
 
Back
Top Bottom