Mauaji Mbeya: Afisa Ustawi wa Jamii adaiwa kunyongwa hadi kufa

Mauaji Mbeya: Afisa Ustawi wa Jamii adaiwa kunyongwa hadi kufa

vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifoooooooooooooooooooooooo!
Vifo, vifo, vifo. Sijui kwanini kipindi hiki. Sijui kwanini. Sijui kwanini.
Polisi wanashindwa wapi?
 
dah yaani unamuua kabisa mtoto mzuri kama huyu, nikumkosea sana Mwenyezi Mungu muumba.. wametuondolea burudani yetu ya dunia...
Unakuta walimla kwanza kabla ya kumuua
 

Afisa Ustawi wa Jamii Mahabusu ya Watoto Mbeya, Gloria Kibira amekutwa amefariki nyumbani kwake ndani ya Mahabusu hiyo ,Jijini Mbeya!

Taarifa za awali zinaonyesha kuwa alikutwa amefariki mida ya saa tatu usiku tarehe3.2 baada ya marafiki zake kumtafuta Kwa simu na akawa hapokei.

Watoto wake walikuwa shuleni, na baada ya kurudi nyumbani walidhani mama yao hajarudi kazini na wakaamua kupika, kula na kulala! Baadaye wafanyakazi wenzake waligundua maiti chumbani kwake.

Pamoja na taarifa rasmi ya tukio Hilo haijatolewa, lakini inasemekana kuwa huenda Afisa huyo aliuawa
Marehemu ameacha watoto watatu.

Baadhi ya majirani wameeleza kuwaa ulinzi ktk eneo Hilo linaloendeshwa na Wizara ya Maendeleo ya Jamii sio madhubuti.

Mwili wa marehemu umesafirishwakwenda Bukoba kwa mazishi
Saa 3 usiku watoto walikuwa shule!
 
Vifo, vifo, vifo. Sijui kwanini kipindi hiki. Sijui kwanini. Sijui kwanini.
Polisi wanashindwa wapi?
Polisi ndio wanatuma watu, au rahis anashindwa kukemea Kama magu alivyokuwa mkali, magu tukimuogopa utawala wake.
 

Afisa Ustawi wa Jamii Mahabusu ya Watoto Mbeya, Gloria Kibira amekutwa amefariki nyumbani kwake ndani ya Mahabusu hiyo ,Jijini Mbeya!

Taarifa za awali zinaonyesha kuwa alikutwa amefariki mida ya saa tatu usiku tarehe3.2 baada ya marafiki zake kumtafuta Kwa simu na akawa hapokei.

Watoto wake walikuwa shuleni, na baada ya kurudi nyumbani walidhani mama yao hajarudi kazini na wakaamua kupika, kula na kulala! Baadaye wafanyakazi wenzake waligundua maiti chumbani kwake.

Pamoja na taarifa rasmi ya tukio Hilo haijatolewa, lakini inasemekana kuwa huenda Afisa huyo aliuawa
Marehemu ameacha watoto watatu.

Baadhi ya majirani wameeleza kuwaa ulinzi ktk eneo Hilo linaloendeshwa na Wizara ya Maendeleo ya Jamii sio madhubuti.

Mwili wa marehemu umesafirishwakwenda Bukoba kwa mazishi

9F842748-1969-46A6-9C25-B5C6E52F3485.jpeg
 
vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifoooooooooooooooooooooooo!

F063D79A-C9A1-4C78-A801-DB33477D6A28.jpeg
 
Back
Top Bottom