ntinanigwamvuyekule
Senior Member
- Apr 24, 2019
- 130
- 122
nyumbani kwake ndani ya Mahabusu hiyo ,Jijini Mbeya!!!!!Tungo tata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vifo, vifo, vifo. Sijui kwanini kipindi hiki. Sijui kwanini. Sijui kwanini.vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifoooooooooooooooooooooooo!
Kama huelewi kitu uliza ,sio kujitia ujuaji,eti tungo tata!nyumbani kwake ndani ya Mahabusu hiyo ,Jijini Mbeya!!!!!Tungo tata
Kwa hizi lips huenda ni wivu wa kimapenzi
RIP Glory shemeji yangu, umechuliwa mapema mno na hao washenzi bandidu.Mdada wa watuuView attachment 2109346
Poleni sanaRIP Glory shemeji yangu, umechuliwa mapema mno na hao washenzi bandidu.
Unakuta walimla kwanza kabla ya kumuuadah yaani unamuua kabisa mtoto mzuri kama huyu, nikumkosea sana Mwenyezi Mungu muumba.. wametuondolea burudani yetu ya dunia...
Saa 3 usiku watoto walikuwa shule!
Afisa Ustawi wa Jamii Mahabusu ya Watoto Mbeya, Gloria Kibira amekutwa amefariki nyumbani kwake ndani ya Mahabusu hiyo ,Jijini Mbeya!
Taarifa za awali zinaonyesha kuwa alikutwa amefariki mida ya saa tatu usiku tarehe3.2 baada ya marafiki zake kumtafuta Kwa simu na akawa hapokei.
Watoto wake walikuwa shuleni, na baada ya kurudi nyumbani walidhani mama yao hajarudi kazini na wakaamua kupika, kula na kulala! Baadaye wafanyakazi wenzake waligundua maiti chumbani kwake.
Pamoja na taarifa rasmi ya tukio Hilo haijatolewa, lakini inasemekana kuwa huenda Afisa huyo aliuawa
Marehemu ameacha watoto watatu.
Baadhi ya majirani wameeleza kuwaa ulinzi ktk eneo Hilo linaloendeshwa na Wizara ya Maendeleo ya Jamii sio madhubuti.
Mwili wa marehemu umesafirishwakwenda Bukoba kwa mazishi
Poke aisee,shemejio kwa nani?maana nasikia alishaachana na mumeweRIP Glory shemeji yangu, umechuliwa mapema mno na hao washenzi bandidu.
Polisi ndio wanatuma watu, au rahis anashindwa kukemea Kama magu alivyokuwa mkali, magu tukimuogopa utawala wake.Vifo, vifo, vifo. Sijui kwanini kipindi hiki. Sijui kwanini. Sijui kwanini.
Polisi wanashindwa wapi?
Walikuwa wametengana tu si kuachana.Poke aisee,shemejio kwa nani?maana nasikia alishaachana na mumewe
Bado Iko mikononi mwa polisi.Poleni sana
Wauaji wamepatikana?
Afisa Ustawi wa Jamii Mahabusu ya Watoto Mbeya, Gloria Kibira amekutwa amefariki nyumbani kwake ndani ya Mahabusu hiyo ,Jijini Mbeya!
Taarifa za awali zinaonyesha kuwa alikutwa amefariki mida ya saa tatu usiku tarehe3.2 baada ya marafiki zake kumtafuta Kwa simu na akawa hapokei.
Watoto wake walikuwa shuleni, na baada ya kurudi nyumbani walidhani mama yao hajarudi kazini na wakaamua kupika, kula na kulala! Baadaye wafanyakazi wenzake waligundua maiti chumbani kwake.
Pamoja na taarifa rasmi ya tukio Hilo haijatolewa, lakini inasemekana kuwa huenda Afisa huyo aliuawa
Marehemu ameacha watoto watatu.
Baadhi ya majirani wameeleza kuwaa ulinzi ktk eneo Hilo linaloendeshwa na Wizara ya Maendeleo ya Jamii sio madhubuti.
Mwili wa marehemu umesafirishwakwenda Bukoba kwa mazishi
vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifo vifoooooooooooooooooooooooo!
Lazima atahojiwa na polisi huyoWalikuwa wametengana tu si kuachana.