johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Hakika bwashee!Mama kaongea Kama kiongozi, si muda wa kuchochea ni muda wa kupunguza munkari Kwa wananchi wenye hasira,
halafu utaratibu mzuri wa jinsi ya kuabudu utafuata.