Mauaji Moshi: RC Mghwira asema utaratibu wa kukanyaga mafuta uliandaliwa vizuri ila vibaka walivamia kutokea nje na kusababisha maafa

Mmh!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maelezo haya...yana majibu ya kishetani....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ime isha hiyo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Case closed, tuendelee na mengine

Ila ndiyo mjue huko hakuna asubuhi mnaabudu mungu asiyejulikana
 
Sababu zote zimeelezwa na RC wa Kilimanjaro na kuwekwa sawa, kwa maelezo haya Mwamposa hana kosa lolote,
Mungu prove wrong watu walio kuwa nanamsema vibaya mtume, sio bure hapa, walio vamia watakuwa walitumwa kuja kumchafua mtume, 🤔
Kumbe kuna mijitu mijinga hapa duniani!
Mmojawapo ni wewe.
Huo utume alipewa na nani?
Nonsense!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sababu zote zimeelezwa na RC wa Kilimanjaro na kuwekwa sawa, kwa maelezo haya Mwamposa hana kosa lolote,
Mungu prove wrong watu walio kuwa nanamsema vibaya mtume, sio bure hapa, walio vamia watakuwa walitumwa kuja kumchafua mtume, [emoji848]
Wajinga ndio waliwao. Endeleeni hivyo hivyo mpaka mtume wenu atimize ndoto yake ya kununua ndege huku nyie wafuasi wake mkibakia kuwa makapuku tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi huo mkutano ulikuwa kwa mualiko au kila mtu alikuwa huru kuhudhuria? Maana katika kundi kubwa hivyo unafikiaje hitimisho la uwepo wa vibaka na kuwa ndio waliosababisha mauwaji? RC anacheza chini ya kiwango.......angekaa kimya tu awaachie polisi.
Au hao vibaka walikua wamevaa uniform?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hv kuna ile TUME YA MCHOMOA BETRI WA MSAMVU! Report yake ikwapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Question mark
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…