Haya nenda kaendelee kukanyaga mafuta na Mungu akuponye.Mkuu heshimu katiba wakajoliki wanaka rosari ikwap kibiblia je ikitokea wamejinyongea tumfunge kardinali.je pia waislamu tasbihi zikwap kiquran ? Ya dini tuyaache .mi katoliki naheshimu
Sent using Jamii Forums mobile app
RC amenikwaza, angekaa kimya ingesaidia-onye wenye akiri timamu waepuke ibada za namna hiiMkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro amesema paliwekwa mabeseni ya mafuta katika mageti yote ila cha ajabu katika geti moja palitokea kundi la vijana kutoka nje ya uwanja na kulazimisha kuingia ndani kwa nguvu ndipo watu wakaanza kukanyagana.
Akizungumza katika ibada ya kuwaaga marehemu mama Mghwira amesema vijana hao hawaeleweki walikuwa wanaingia uwanjani kufanya nini kwani ibada ilishamalizika, yawezekana walikuwa vibaka.
Mkuu wa mkoa amewataka vijana hao wasiofahamika hadi sasa kutubu mbele za Mungu kwani dhambi waliyoitenda ni mbaya sana.
Mama Mghwira amesema Huduma za kiimani zitaendelea kama kawaida na kwamba mikutano ya Injili kuanzia sasa itaratibiwa kwa makini na ameomba kukutana na viongozi wote wa dini mkoani humo.
Mama Mghwira amesema aliongea na Rais Magufuli leo asubuhi na kwamba Rais alimtaka kutositisha shughuli za kidini bali waweke utaratibu mzuri wa kuzimonitor.
Source: TBC
Mi mkatoliki siwezi kanga mafuta ila wanaokanyaga nawaheshimu kilichowaua sio mafuta Bali mpangilio mbaya wa kuyakanyagaHaya nenda kaendelee kukanyaga mafuta na Mungu akuponye.
Sasa wewe ulitaka isiishe? Unaweza kuniambia ni wangapi walishakufa kwa kukanyagana kwenye zoezi la Kumtupia mawe "shetwan"?ndio hivyo kesi imeshaisha
Amekukwaza kwa kuusema ukweli?RC amenikwaza, angekaa kimya ingesaidia-onye wenye akiri timamu waepuke ibada za namna hii
Hivi, mauaji ya kimbari ya Rwanda, kwa kuwa yalishatokea, yanahalalisha leo tuuane vile vile Tanzania?Sa
Sasa wewe ulitaka isiishe? Unaweza kuniambia ni wangapi walishakufa kwa kukanyagana kwenye zoezi la Kumtupia mawe "shetwan"?
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro amesema paliwekwa mabeseni ya mafuta katika mageti yote ila cha ajabu katika geti moja palitokea kundi la vijana kutoka nje ya uwanja na kulazimisha kuingia ndani kwa nguvu ndipo watu wakaanza kukanyagana.
Akizungumza katika ibada ya kuwaaga marehemu mama Mghwira amesema vijana hao hawaeleweki walikuwa wanaingia uwanjani kufanya nini kwani ibada ilishamalizika, yawezekana walikuwa vibaka.
Mkuu wa mkoa amewataka vijana hao wasiofahamika hadi sasa kutubu mbele za Mungu kwani dhambi waliyoitenda ni mbaya sana.
Mama Mghwira amesema Huduma za kiimani zitaendelea kama kawaida na kwamba mikutano ya Injili kuanzia sasa itaratibiwa kwa makini na ameomba kukutana na viongozi wote wa dini mkoani humo.
Mama Mghwira amesema aliongea na Rais Magufuli leo asubuhi na kwamba Rais alimtaka kutositisha shughuli za kidini bali waweke utaratibu mzuri wa kuzimonitor.
Source: TBC
Kama umeuona ukweli, barikiwa. Mi sijauona. Nadhani mahakama itende haki kisha nasisi tutatimiza wajibu wetu- vibaka walivamia ibadaAmekukwaza kwa kuusema ukweli?
Amina!Kama umeuona ukweli, barikiwa. Mi sijauona. Nadhani mahakama itende haki kisha nasisi tutatimiza wajibu wetu- vibaka walivamia ibada