Mauaji Moshi: RC Mghwira asema utaratibu wa kukanyaga mafuta uliandaliwa vizuri ila vibaka walivamia kutokea nje na kusababisha maafa

RC amenikwaza, angekaa kimya ingesaidia-onye wenye akiri timamu waepuke ibada za namna hii
 
Yamekuwa hayo tena, anamanisha kuwa vibaka walikuwa wamekwenda kukwapua upako?.
 

Vibaka?? wangapi? Dhidi ya waumini wangapi?? Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…