Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,409
- 13,262
Yaani hapo mama kajidhalilisha sana. Nimemshusha hadhi kabisa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi huo mkutano ulikuwa kwa mualiko au kila mtu alikuwa huru kuhudhuria? Maana katika kundi kubwa hivyo unafikiaje hitimisho la uwepo wa vibaka na kuwa ndio waliosababisha mauwaji? RC anacheza chini ya kiwango.......angekaa kimya tu awaachie polisi.
Sent using Jamii Forums mobile app