Mauaji ya ajabu ajabu Afrika Mashariki ni kiashiria cha kuingia ugonjwa wa "serial killer"?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Serial killers ni watu wanaofanya mauaji ya zaidi ya mtu mmoja kwa minajili ya kujipatia furaha tu, mauaji yao mara nyingi huwa yanalenga kundi fulani la watu mfano wanawake, watoto, watu wa rangi fulani n.k

Aina hii ya mauaji imekuwa maarufu zaidi katika nchi za magharibi ikihusishwa zaidi na matatizo ya akili lakina kwa miaka kadhaa ya karibuni sana katika nchi za Africa Mashariki nako kumeanza kuonekana dalili hii ya matukio ambapo watu wanapotea au kuuwawa tu bila sababu za kueleweka zilizozoeleka kama ujambazi, mapenzi, siasa, kugombea mali n.k

Hii inaweza kuwa dalali mbaya sana ya kuchipuka kwa serial killer disorder.
 

Wanamsingizia jamaa, watakuwa wampa pesa ya kutosha yeye na familia yake atumike kama chambo. baadaye watu watasahau, itakuwa ni upepo unapita na hali inarudi shwari. Mauwaji mengi yanafanywa na wasijulikana.
 
Hakuna serial killer hapo. Huyo jamaa Ni mganda, mahali aliposema ndio anapoishi hakuna anayemfahamu.
Zile maiti zikiuawa na polisi ndio maana wamezi dump karibu na kituo Cha polisi. Jiulize zile maiti za juzi juzi angewezaje kuzidump zote ndani ya siku mbili asionekane hata na MTU mmoja.
Hakuna anayemfahamu huyo mke wake, inamaana mke wake hakua na ndugu, rafiki au jirani
Hiyo ni cover up ya serikali ya Ruto and his henchmen wakitaka kuficha uovu wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…