TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Maisha bora kwa kila mtanzania kweli??? kama tumefika kupigana bei???? duh!!!
Hiyo ndiyo ujasiriamali at its best... bahati mbaya hatukumwelewa "mjomba" aliposema tuwe wabunifu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha bora kwa kila mtanzania kweli??? kama tumefika kupigana bei???? duh!!!
We umekaa kupinga tuuu huyu ni mchungaji wa kanisa la kikristo huyu anatangaza dini kwa vitendo........hizi dini nyengine.
SAHIBA.
crisp and cheese...! Huyu mchungaji yapaswa haombewe...!
in the name of father... the sun... and in the-hole-of hell he- goes... Amin
Hii ni aibu na kweli,
Pentekoste sii Walokole???
Vipi tena??
Tuamini dini/thehebu gani?
Jamani mchungaji ni binadamu kama walivyo wengine , udhaifu upo kwa kila mtu , kinachotakiwa ni kuyashinda majaribu ya ibilisi shetani. Huyu mchungaji kadanganywa na shetani na kujitumbukiza kwenye maovu. Kwa kuwa siku ya mwisho watu wote waliohai na wafu watakuwa kizimbani nawote watahumumiwa kulingana na matendo yao yaliofanya wakiwa hapo duniani, pamoja na kuuwa malbino,ufisadi, wizi, uongo,fitina,na mengineo yasiyompendeza mungu ikiwa na wale wote wanaowachafua wenzao kutumia magazeti na yale udaku na mtandao kuwatoa picha mabinti wa watu . Wajue siku ya kiama watahumiwa kadri walivyotoa hizo picha na moto watakiona.
Bua ha ha..
Akili matope. Hivi ulishawahi kukaa chini na kujiuliza tofauti baina ya mchungaji na dini ? au kwako hivi ni sawa tu? How about 'Mwamedi' and 'Baby 'Aisha'? May be 'mpapai' na 'nguruwe'? Unaweza kutofautisha ?
Kama unaweza kutofautisha nadhani jibu utakuwa umelipata, kama bado huwezi kutafautisha, basi utakuwa unastahili kuwa Mirembe right this minute maana wewe ni hatari kwa jamii na kwako mwenyewe.
BTW, hivi ulishakaa chini nakujiuliza mtume wako Mwamedi a.k.a allah angeishi ktk karne hii angeshapelekwa The Hague kwa makosa yafuatayo?
1. Pedofilia
2. Murderer
3. Ethnic cleanser
4. Lecher (kama Liyumba vile)
5. Mwivi wa majiani
6. Liar na fisadi
7. etc
😀 😀 😀
angalia taarifa yenyewe ndiyo hii hapa
Source: Mwananchi
Acha chuki na jazba ndugu.Una uhakika gani kwamba aleyetoa hizo comments ni Muslim.Usikwe mvivu wa kufikiri.
Kwa kweli ndugu zangu wana JF hali kwa ndugu zetu Albino ni mbaya na inasikitisha,hebu angalia unyama huu hapa: MICHUZI
Acha chuki na jazba ndugu.Una uhakika gani kwamba aleyetoa hizo comments ni Muslim.Usikwe mvivu wa kufikiri.
Usidandie gari kwa mbele. Kama huna pointi unaweza ukabaki msomaji tu na mambo yakaenda.
Dr inakuwaje mtumishi anakutwa na viungo vya albino? nijibu taratibu na usiniwekee aya ndeeeeeefu...Usidandie gari kwa mbele. Kama huna pointi unaweza ukabaki msomaji tu na mambo yakaenda.
Hii ni aibu na kweli,
Pentekoste sii Walokole???
Vipi tena??
Tuamini dini/thehebu gani?
Wana JF,
Hii link itakupeleka kwenye BLOG ya michuzi ambako kuna picha ya mtoto aliyeuwawa kwa kukatwa miguu. Tafadhali kama una roho nyepesi basi usifufungue hiyo link. Picha zinatisha.
Ila najiuliza swali moja, hivi hawa watu waliomkata huyu mtoto, ukitokea na kuwakuta hapo na huku una silaha kama bunduki, mhhhh Pinda aseme au asiseme, mie ntafyatua risasi na kuwamiminia hao jamaa. Ni hali ya kawaida ya binadamu. Yaani Newton's law of motion "In every action, there's equal and oposite reaction."
Narudia tena, PICHA ZINATISHA:-
MICHUZI