Mzee Mwanakijiji,
Mkuu hakuna mtu anaye support street justice kuwa ndio njia pekee itumike, isipokuwa tunashauri sheria ya jino kwa jino..Israel na nchi zote za kiarabu, chache za Asia wanatumia sheria hizo na hatuoni watu wakiuana kama unavyodai..
Hizo street justice zipo Tanzania hadi kesho wanakufa vizee na vibaka sioni ukizungumzia hilo kwa mifano ya kisasi isipokuwa inapofikia swala hili...Na ajabu unapinga hoja hii ukitumia maneno ya Pinda (politics) wakati hakuna mtu kati yetu anajali what he said or should have... kwetu imeshapita tunawaachia wanasiasa kina dr. Slaa.
Sasa kama wewe unayo njia zaidi ya kupambana na watu hawa tupe, lakini sio maswala ya rewards...Unachoogopa wewe matokeo ktk usemi wa Pinda hakuna tofauti na hoja yako..kwa tamaa ya fedha biandamu anaweza fanya mengi kinyume cha sheria hiyo hiyo inayowalinda wengine.
Ebu nambie, una tatizo gani na sisi kuunda jeshi litakalo shughulika na hawa watu!.. Na kama serikali haiwezi, tuunde hata Sungusungu, tuliweza miaka ya 70 na bado sheria imesimama..miji midogo vijijini kuna ullinzi wa kila siku usiku kwa zamu toka kila nyumba kupambana na majambazi na wanafanikiwa hatujasikia mauaji ya kisasi, iweje sisi leo hii ktk swala la Albino tufikirie sheria inayowalinda wauaji wakati ndugu zetu wengine wanakufa!...
Mkuu hakuna mtu anaye support street justice kuwa ndio njia pekee itumike, isipokuwa tunashauri sheria ya jino kwa jino..Israel na nchi zote za kiarabu, chache za Asia wanatumia sheria hizo na hatuoni watu wakiuana kama unavyodai..
Hizo street justice zipo Tanzania hadi kesho wanakufa vizee na vibaka sioni ukizungumzia hilo kwa mifano ya kisasi isipokuwa inapofikia swala hili...Na ajabu unapinga hoja hii ukitumia maneno ya Pinda (politics) wakati hakuna mtu kati yetu anajali what he said or should have... kwetu imeshapita tunawaachia wanasiasa kina dr. Slaa.
Sasa kama wewe unayo njia zaidi ya kupambana na watu hawa tupe, lakini sio maswala ya rewards...Unachoogopa wewe matokeo ktk usemi wa Pinda hakuna tofauti na hoja yako..kwa tamaa ya fedha biandamu anaweza fanya mengi kinyume cha sheria hiyo hiyo inayowalinda wengine.
Ebu nambie, una tatizo gani na sisi kuunda jeshi litakalo shughulika na hawa watu!.. Na kama serikali haiwezi, tuunde hata Sungusungu, tuliweza miaka ya 70 na bado sheria imesimama..miji midogo vijijini kuna ullinzi wa kila siku usiku kwa zamu toka kila nyumba kupambana na majambazi na wanafanikiwa hatujasikia mauaji ya kisasi, iweje sisi leo hii ktk swala la Albino tufikirie sheria inayowalinda wauaji wakati ndugu zetu wengine wanakufa!...