Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona watanzania tunapenda kulalamika sana?kwa nini hatupendi kufanya maamuzi magumu mpaka tusubiri watu wengine ndio waje wafanye maamuzi kwa niaba yetu wakati tunaelewa kabisa hao tuliowakabidhi ridha ya kutuongoza hawana nia ya kumaliza tatizo hili (na matatizo mengine mengi)?
wahusika naamini kabisa wanajulikana katika jumuiya zao,sasa itakuwa vyema tukiwaweka hadharani ili wenye nafasi ya kuwachukulia hatua wafanye hivyo.tukiendelea kuwaachia vyombo vya dola tujue kabisa kuwa tutakuwa tumeliwa.kwa nini tupige kelele tu wakati wanajulikana?kuna mzee mmoja wakati wa sakata la escrow aliwahi kusema kama angekuwa anaweza kumuwekea sumu Chenge au kuharibu mfumo wa gari la Chenge,angefanya hivyo siku nyingi.hawa watu hawaishi peke yao kwenye visiwa,kwa nini tusiwashughulikie kama kweli tuna nia ya dhati ya kumaliza haya matatizo?
Ndugu wana jamii forum, Kwanza kabisa poleni na picha ya leo iliyomuonyesha mtoto akiwa amekatwa kinyama kisha kuzikwa!
Ndugu zangu leo nifadhaishwa sana na picha ile kiasi cha kutopata usingizi vizuri. Ni ukatili ukatili wa hali ya juu.
Naomba serikali kutumia DNA kuwatia nguvuni washukiwa hawa! Pili ni maono yangu kuwa serikali imeshindwa kudhibiti mauaji haya naomba wananchi waruhusiwe kuchukua sheria mkononi kumaliZa aibu hii.
Ikishaingizwa siasa tu huwa nakosa la kusema.
Kila la heri.

mwenye mbinu yoyote ya kipelelezi itakayowezesha kumgundua au kuwagundua hawa wauaji wa albino atusaidie sisi watz mfano wewe ni mtalaam wa it toa taarifa kwa uchunguzi wako kupitia elimu au udhoefu wako vilevile kama wewe ni mpelelezi wa nchi hii au wa kigeni tafadhali fichua uhalifu huu mkubwa maana leo wanasema albino dili ila kesho watesema wewe ndiyo dili sasa ili kudhibiti watu hawa lazima tupambane kwa taaluma zetu na udhoefu wetu wote maana tumechoka kabisa na huu uvunjaji wa haki za binadamu.