Mauaji ya Albino: Kushindwa kwa serikali?

Mauaji ya Albino: Kushindwa kwa serikali?

Shukrani sana kwa maelezo yaliyonyooka

Ndg yeriko kutokana na hawa ndugu zetu albino kuishi maisha kama ya digidigi ipo haja ya nchi wahisani kuchukua maamuzi magumu kusitisha misaaada kwenye hii nchi ya mazingaombwe mpaka pale wahusika wote watakapo kamatwa kupewa adhabu husika manake haya mauwaji yana siri nzito kama fedha za escrow.
 
Dr Slaa aliomba kuacha uPadri tangu mwaka 1986....Wakati huo hata mtoto mmoja hajazaliwa...Acha kupotosha

Sema Process ya hadi Pope ku approve hua inachukua miaka

Na ndicho kilichotokea.

Aliamua yeye kuacha kwa dhamiri yake bila kushurutishwa na mtu yeyote

Naturally ukiishi na mtu under one roof kwa miezi sita while cohabiting hio ni ndoa...Marriage Act ya Tanzania,1971.Ndicho kilichotokea kwa Rose.

Tuyaache hayo.

Ukatibu mkuu mzuri wa kinana unatokana na nini?
Huyu amenufaika na mapato haramu...anafaa kujiuzulu...hafai hata kusimama mbele ya watu
CCM ni chafu...sio imeharibika kiasi....Imeoza
Usidanganye watu kuwa eti ukiwa na kampuni ya Usafiri utasafiri unasafirisha kila kitu...really? Hata madawa ya kulevya?
Hauwafahamu wale watoto wa Dr Slaa wa mke mkubwa? Mmoja kati yao atakuwa anakaribia miaka 30 kama hajapita. Tusiwajadili sana hawa.

Kwani madawa yanafikaje hapa nchini? Yanaletwa kwa mashirika ya ndege yanayoheshimika sana. Yanaletwa pia kwa meli kubwa, mabasi mazuri tu.
 
Hembu ni saidieni kwani huu uuwaji na utekaji wa watu ulianza muongo upi wa Ndg Allhassan Mwinyi, Ndg Benjamin Mkapa, au Ndg Jakaya Kikwete nani kwa nini.

Ndugu yangu hawa watawala ni watu wa hatari kuliko unavyofikiria; ni watu wenye maarifa ya ulimwengu usioonekana kwa macho, wanajua kuwa huwezi kuwa kiongozi mkuu hapa duniani kama hujaonana na lucifer mwenyewe ana kwa ana ili akupe nyota za kukufanya uwe kiongozi.
Unfortunately nyota hizo hazipatikani mahali popote isipokuwa toka kwa wanadamu walioumbwa na MUNGU JEHOVA ambaye ameweka nyota (umahiri) ndani ya watu.

Kuweza kupata utawala huwa wanafanya biashara, wanampa damu na roho za watu na kisha yeye anawapa utawala. Hakuna utawala unaosimama hivi hivi there has to be a spiritual power behind it either from God or from Satan...na matendo ya huyo kiongozi yatakujulisha kama amepata utawala kwa shetani au kwa Mungu Jehova. Mfano akiwa kiongozi mwizi, muuaji, katili, you know straight away kuwa katoa kafara kwa mashetani ndio kapata position aliyo nayo.
Watu hawa ni wabaya kuliko unavyowaona kwenye suti zao, wanaweza kuzamisha meli kichawi ili watoe kafara baharini, au kuangusha train au basi kichawi. They are extremely dangerous, sisi tunawaona kwenye suti wanacheka cheka tunafikiri ni wenzetu, they are not!!
 
Mauaji yalianza mwaka 2006...Kipindi cha Kikwete...Hadi sasa 76 wameuawa...18 wamepata ulemavu....

Tunaposema CCM ya Kikwete inahusika hatutanii

La juzi geita kundi la kina Mwigulu limehusika

Sasa hapa ndio pakujadili na huu utekaji wa kuona kucha ni kwa nini itokee awamu ya Ndg Jakaya Kikwete? Inabidi tuchanganye akili na maarifa tuliyo nayo kuna ukakasi upo ndani yake .
 
Sumaye ameongea vizuri ila na yeye aache unafiki sasa maana akiwa PM ndiye alikua muasisi wa Rushwa na kuibatiza jina zuri "Takrima" na kuwatisha wafanyabiashara kuwa ili wafanikiwe ni lazima waichangie CCM.
Na kusema ili TRA wasikusumbue jiunge na CCM,nasikia naye anataka kutangaza nia,Hivi degree yake alimaliza?alisomea nini?najua mwanzoni alikuwa mwalimu wa chuo cha mifugo sasa alichosomea baadae sikijui ila najua alienda Marekani baada ya kupoteza U Waziri mkuu.
 
Ndugu yangu hawa watawala ni watu wa hatari kuliko unavyofikiria; ni watu wenye maarifa ya ulimwengu usioonekana kwa macho, wanajua kuwa huwezi kuwa kiongozi mkuu hapa duniani kama hujaonana na lucifer mwenyewe ana kwa ana ili akupe nyota za kukufanya uwe kiongozi.
Unfortunately nyota hizo hazipatikani mahali popote isipokuwa toka kwa wanadamu walioumbwa na MUNGU JEHOVA ambaye ameweka nyota (umahiri) ndani ya watu.

Kuweza kupata utawala huwa wanafanya biashara, wanampa damu na roho za watu na kisha yeye anawapa utawala. Hakuna utawala unaosimama hivi hivi there has to be a spiritual power behind it either from God or from Satan...na matendo ya huyo kiongozi yatakujulisha kama amepata utawala kwa shetani au kwa Mungu Jehova. Mfano akiwa kiongozi mwizi, muuaji, katili, you know straight away kuwa katoa kafara kwa mashetani ndio kapata position aliyo nayo.
Watu hawa ni wabaya kuliko unavyowaona kwenye suti zao, wanaweza kuzamisha meli kichawi ili watoe kafara baharini, au kuangusha train au basi kichawi. They are extremely dangerous, sisi tunawaona kwenye suti wanacheka cheka tunafikiri ni wenzetu, they are not!!

Hakuna lililo siri chini ya jua.
 
Mimi namtetea Kinana, yeye hajashika Gobole kumwinda mtu yeyote kama wafanyavyo wenzake wakati wa Uchaguzi, yeye anatumia kuwinda pembe za ndovu tu na kuzipeleka china, huko ndiko meli yake ilikokamatwa.
 
Ccm wakihutubia wanajifanya watu wema tena wa amani usiku sasa ndo hao hao wapanga mikakti ya kihalifu
 
Sumaye ameongea vizuri ila na yeye aache unafiki sasa maana akiwa PM ndiye alikua muasisi wa Rushwa na kuibatiza jina zuri "Takrima" na kuwatisha wafanyabiashara kuwa ili wafanikiwe ni lazima waichangie CCM.

Wape vidonge vyao wakimeza/wakitema shauri yao
 
Mtanzania yeyote anaruhusiwa kumiliki silaha ili mradi afate masharti ya kumiliki silaha.

Sio ruhusa kumiliki silaha ya kivita kama hiyo

Labda kwa majangili ya CCM kama Malima na Kinana
 
Mfano hili tukio la juzi juzi katika kijiji cha Ilemela, jimbo la Chato ambako mbunge wao ni Magufuli hakuonekana kujali katika hatua za awali hadi alipoona ataumbuka baada ya matibabu ya mama wa mtoto kutolewa kwa msaada na hospitali sababu hana hela ndipo alipojitokeza kutoa msaada wa milioni moja.
 
CCM IKO BUSY NA KUUSAKA URAIS KWA WAGANGA.
Hii ni aibu

Kauli yako yenyewe inachangia kuua Albino. Ni lini Watanzania tutajua kuongea? Kumbe basi inawezekana kupata huo Utajiri ama Urais kwa kuua wengine? Tangaza haiwezekani kwa namna yoyote ile kupata utajiri kwa mtindo huo. Kila mtu amekuwa mchawi ama mganga wa kienyeji kwa kuunga mkono aina ya uwongo na udanganyifu unaotumiwa na wachawi na waganga wa kienyeji. Msema uwongo ili ajithibitishe kwa waamini wake kwamba anayoyasema yanaleta maana, atatafuta kuyakamilisha kwa namna yoyote ile. Tumia lugha ya kubatilisha si kuunga mkono kwamba inawezekana.
 
Hauwafahamu wale watoto wa Dr Slaa wa mke mkubwa? Mmoja kati yao atakuwa anakaribia miaka 30 kama hajapita. Tusiwajadili sana hawa.

Kwani madawa yanafikaje hapa nchini? Yanaletwa kwa mashirika ya ndege yanayoheshimika sana. Yanaletwa pia kwa meli kubwa, mabasi mazuri tu.

Sio kweli kuhusu hao watoto na hautakiwi kuleta upotoshaji na ukaachwa hivyo hivyo.

Dr Slaa na Rose wana watoto wawili ambao ni Emiliana Slaa na Linus Slaa,Wa kwanza Emiliana alizaliwa mwaka 1987 .

Unaelewa kazi ya shipping Agency? Tuanzie hapo...manake unaonekana huelewi hili.

Shipping Agency haimiliki meli...ila inasafirisha mizigo kupitia meli...na inashangaza sana kama shipping Agency inayosafirisha mizigo haijui ni mzigo gani unasafirishwa? Open your mind chap
 
Na kusema ili TRA wasikusumbue jiunge na CCM,nasikia naye anataka kutangaza nia,Hivi degree yake alimaliza?alisomea nini?najua mwanzoni alikuwa mwalimu wa chuo cha mifugo sasa alichosomea baadae sikijui ila najua alienda Marekani baada ya kupoteza U Waziri mkuu.
Na kusema kwamba kila gari liwe na gavana anazoagiza yeye tu.
 
Sasa hapa ndio pakujadili na huu utekaji wa kuona kucha ni kwa nini itokee awamu ya Ndg Jakaya Kikwete? Inabidi tuchanganye akili na maarifa tuliyo nayo kuna ukakasi upo ndani yake .

Mtandao uliomweka madarani kwa ahadi ya kupewa nyadhifa ulikuwa mrefu kiasi cha kushindwa kumtimizia kila mmoja basi wahusika wakahamia kwa masangoma kung'arisha nyota
 
Sio kweli kuhusu hao watoto na hautakiwi kuleta upotoshaji na ukaachwa hivyo hivyo.

Dr Slaa na Rose wana watoto wawili ambao ni Emiliana Slaa na Linus Slaa,Wa kwanza Emiliana alizaliwa mwaka 1987 .

Unaelewa kazi ya shipping Agency? Tuanzie hapo...manake unaonekana huelewi hili.

Shipping Agency haimiliki meli...ila inasafirisha mizigo kupitia meli...na inashangaza sana kama shipping Agency inayosafirisha mizigo haijui ni mzigo gani unasafirishwa? Open your mind chap

a

Padre Slaa alivuruga useja muda mrefu kabla hajaacha upadre. Huyu baba muda huu angekuwa ni Askofu kwa nafasi ile aliokuwa nayo TEC. Makatibu wengi wa TEC kama si wote wamekuwa Maaskofu. Hauwezi kuiacha sacramenti ile halafu ukawa kiongozi mzuri kwingineko.

Hiyo Shipping Agency iliachwaje na Wachina walivyo wakali vile?
 
a

Padre Slaa alivuruga useja muda mrefu kabla hajaacha upadre. Huyu baba muda huu angekuwa ni Askofu kwa nafasi ile aliokuwa nayo TEC. Makatibu wengi wa TEC kama si wote wamekuwa Maaskofu. Hauwezi kuiacha sacramenti ile halafu ukawa kiongozi mzuri kwingineko.

Hiyo Shipping Agency iliachwaje na Wachina walivyo wakali vile?

Umejitahidi kuleta uzushi kuwa Dr alizaa kabla ya kusudio la kuachana na Upadre, lakini umejibiwa kisha unahamia kwenye uaskofu mkuu???

Nani kakwambia kiongozi wa kiroho hawezi kuwa kiongozi wa umma?

Nenda Ujerumani, mapadre hulipwa mishahara na serikalu, nenda Arabuni, Mashehe wote hulipwa mishahara na serikali.

Kama hujui omba ujulishwe mkuu
 
a

Padre Slaa alivuruga useja muda mrefu kabla hajaacha upadre. Huyu baba muda huu angekuwa ni Askofu kwa nafasi ile aliokuwa nayo TEC. Makatibu wengi wa TEC kama si wote wamekuwa Maaskofu. Hauwezi kuiacha sacramenti ile halafu ukawa kiongozi mzuri kwingineko.

Hiyo Shipping Agency iliachwaje na Wachina walivyo wakali vile?

Ushakosa hoja sasa...Tumekujibu yote kuhusu Dr Slaa unaanza kuja na General Comments za Ki CCM....No wonder CCM hoooliiganns will never understand anything.

Agency iko domiciled Tanzania...yenyewe ndiyo iliyopakia mzigo....kushughuikiwa ilitakiwa ishughulikiwe na Jurisdiction ya Tanzania...Lakini kwa sababu serikali yote ni Corrupt...Nothing was done

Umeelewa sasa?
 
Back
Top Bottom