OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kwa kuwa naandika kwa hasira sana,sina mengi naomba kujua kama Mtanzania mwenzangu umeridhika na mapambano ya amiri jeshi mkuu katika vita ya dhidi ya madhira ya ndugu zetu wapendwa Albino.Mana mi naona kama a$ga&haaghaaa.