Khalifax Sayed
Member
- Feb 1, 2015
- 44
- 8
Mungu anatizama tu popote alipo...anatuvu
milia...mvua tunapata na jua pia na kula tunakula ila eti kwa hayo yote tunaua albino
..nilisikia ni last year sijui mwaka juzi tz ndio nchi inayoongoza kwa uchawi duniani na jambo lililotoa marks kubwa ni mauaji ya albino....hakuna duniani ila Tanzania tu ndio albino wanauliwa....khaaaaa jamaaaani kwa mwendo huu mvua za mawe lazima zije tu
Sio kweli mkuu...Tanzania sio nchi inayoongoza kwa uchaw duniani....its Germany instead!!
Afu kwa nn mmeshklia kusem kwmb nowhere else albnhos are killed ispokuw Tanzania? How about Congo? Siung mkon mauaj y albinho, lkn achen kudangny....