Mauaji ya Bodaboda Kongwa

Kuanzia Pandambili, Kibaigwa hadi Kongwa wilayani punda kibao!
Acha uongo....

Punda hao huwa wanabeba mizigo ya wakaguru kutoka sehemu za milimani huko Gairo.Huwa hapakii watu.
 
Ndugai yupo hapo dodoma mjini akimnanga jjm kwa mipasho yake iliyokosa vina! Hebu aende jimboni kwake kuthibiti huu ujambazi!
 
Tatizo lako una akili za kichawi sana.

Tunaongelea masuala ya mauaji wewe unaleta habari za punda.
Ndio nimekuambia hongereni hapo Kongwa kwa kupata bodaboda!

Wakati nakuja hapo Kongwa na basi pekee la Shabiny tulikuwa tunaikuta mikokoteni ya punda hapo stendi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…