Hapa Dumila mauaji haya yamekuwa kwa kipindi kirefu saana ila wiki iliyopita yalikuwa yanatokea tena sema Bodaboda kwenye purukushani akafanikiwa kupiga kelele na bahat kulikuwa na watu wanapita hivyo walipokia kelele za msaada wakabidi wawahi.
Kilichofuatia wale wezi wauaji kila mtu akashika njia yake wakimbie mmojawapo kwenda mbele akakutana na mlinzi anayelinda lindo lake naye alisikia kelele za wezi ikabidi amuweke kati na watu kufika pale jamaa ikabd afanywe chakula na wananchi hadi kumuua hapohapo
Ila alikuja kutambulisha ni mwizi anayetokea Morogoro mjini ila naamini wamepata taarifa kuwa waibe ila wakikamatwa ni kifo kama wao wanavyowaua Bodaboda
Mwisho mauaji haya yamekuwa yakitokea sana haswa umeme unapokuwa haupo mida ya usiku kwani umeme Dumila unasumbua saana haswa kipindi hiki hvyo kupelekea uwizi kufanyika saana
TANESCO Rudisheni umeme Dumila hata sasa mmekata