Uchumi wa Kati
Member
- Jul 3, 2020
- 29
- 63
Kumekuwepo taarifa ya matukio ya mauaji ya bodaboda mkoa wa Mtwara zaidi ya watano mwaka huu.
Bodaboda hao wanauawa kisha wanaporwa pikipiki zao.
Maiti za bodaboda hizi zimekuwa zikiokotwa maeneo tofauti baada ya kuporwa pikipiki.
Matukio ya mauaji ya bodaboda yamekuwa ya kawaida huku Polisi wakizembea kuyadhibiti. Hali hii inaonesha kwamba polisi kazi imewashinda, hivyo wajitathimini.
Bodaboda hao wanauawa kisha wanaporwa pikipiki zao.
Maiti za bodaboda hizi zimekuwa zikiokotwa maeneo tofauti baada ya kuporwa pikipiki.
Matukio ya mauaji ya bodaboda yamekuwa ya kawaida huku Polisi wakizembea kuyadhibiti. Hali hii inaonesha kwamba polisi kazi imewashinda, hivyo wajitathimini.