Mauaji ya Karume 1972: Je, muuaji aliwahi kukamatwa na kushitakiwa?

Mauaji ya Karume 1972: Je, muuaji aliwahi kukamatwa na kushitakiwa?

Wapo wengine wanaomuona huyo askari aliyemuuwa ndio Shujaa na huyo unaemuita weye shujaa wao hawamuoni shujaa. Kwaiyo hizo lugha zako zakupachika watu ushujaa ungeliziweka pembeni
Punguza hasira Yakhee
 
Suala la Lisu liweke pembeni shoga yangu. Mimi nimekuja na mauaji ya Jemedari na mwanamapinduzi Mzanzibari Abeid Karume.
Lakini pia nadhani uzi umeanzishwa kumhusu aliyekuwa Makamu wa Rais wa JMT marehemu Abeid Aman Karume na siyo TL aliyejeruhiwa kwa risasi na ambaye kwa sasa anaendelea kula dona liliochanganywa na mhogo kama mtu mwingine yeyote aliye hai.
 
Ndo nilikuwa navuta kumbukumbu kuna member aliwai kuja na scenario nzima hadi kupelekea kifo cha huyu mzee hadi baada ya kifo nini kiliendelea, kipindi kile jf ni jf. Ingekuwa kuwa vyema ule uzi ungevutwa hapa tujikumbushe, historia haichachi
JF ilikuwa shule sio mchezo
 
Alihukumiwa kunyongwa, lakini baadae akaachiwa na kupelekwa Msumbiji ambapo akaenda kuwa mshauri wa masuala ya usalama mpaka akafa na kuzikwa katika makaburi ya mashujaa wa nchi hiyo!
Duuuuhhh, hatari
 
Na hawajui kuwa jinai ni timeless,wahusika wanaweza kuwa protected kwa muda usiojulikana but lazima siku moja mkono wa sheria utawagusa tu hata baada ya miaka 50 ijayo vikiwa viajuza vitanyongwa vikipatikana na hatia.
Ila hii isiwe kama sbb ya ku back up kuhusu Lissu kupigwa risasi, na kujenga sbb za kijinga kusema hata waliompiga Lissu wanaweza wasikmatwe...

Crime is a crime.. Na kila crime is very very different..!!

So waliompiga Lissu risasi wasakwe kokote kule

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karume aliuliwa na wanajeshi, Ambao inasemekana ilikua ni Revolution planning. walioshiriki lile tukio walikua ni watu wanne, ambao ni Ahmada, Chwaya, Shindano na Humoud. Huyu humoud alikua ni shemegi yake Karume alikua ni ndugu wa mkewe.

Wote hawa walifariki huku humoud akifariki anaeo la tukio na wengine walikufa kwenye mapambano wakijaribu kukimbia.

ILa kulikuwa na People behind ile murder. Wakwanza ni Babu ambaye alikua ni mwanasiasa mkubwa kwa wakati huo, Nayeye ndio aliekua ndio huyo planner wa ile revolution. Na wapili Alikua ni Mwanajeshi Mahfoudh ambaye inavosemekana ndio alikua the man behind ile murder.

Na watatu alitambulika kama Mr X ili kuendelea na huyu patahitaji darasa kubwa ili uweze kufahamu kwa undan kabisa haya mambo.

Babu na Mahfidh wote waliishia jela ila walitoka baada miaka mitano mbele. Hayo ni kwa ufupi tu mkuu. Kwa marefu yatatuchukua mda kidogo.
 
Back
Top Bottom