Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Tribal bloc voting hatimaye imetinga Tanzania . Hawa wenzetu ambao tumeishi nao mitaani kwa shida na raha wanatugeuka nakujenga kiburi na utengamano. The likes of Gwajima are adviced wasicheze na moto.Haya sio mauaji ya kimafia maana walioyatenda wanaonekana kuwa malimbukeni fulani hivi, polisi tayari wapo kwenye hatua za mwisho za kuwakamata, wapumbavu hawakua professional kama kundi la wasiojulikana wale wa Tanzania.
Halafu hivi mbona awamu hii ya tano mnataka kuvuruga mshikamano wa Watanzania, nimeona nyie Wasukuma kwa kupitia Gwajima mnasambaza video za kuhamasishana kuunda makundi ya Wasukuma ili mtawale milele.
Kenya ukigusa viongozi wa kisiasa ujue huo ndio mwisho wako,
1)Pio Gama Pinto
2)Tom Mboya
3)Robert Aoko
4)Jacob Juma
5)Chris Msando
6)Aboud Rogo
7)Makaburi
8)Mmiliki wa Modern coast buses
Hawa ni baadhi tu ya watu waliouliwa kinyama chini ya uangalizi wa serikali/Viongozi wa Kenya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania ni nchi ya kipekee kabisa hapa Afrika, kamwe hatuwezi kuruhusu wapumbavu wachache kama Gwajima kutuletea mawazo ya kipumbavu, tutamsambaratisha haraka sana, kama anataka ukabila kwanini asivume mpaka na kuja Kenya, ambako ni ruhusa kuwa na Radio, magazeti hata vyama vya kikabila, huku hawezi pata nafasi" Tanzanians are civilized people"Tribal block voting hatimaye imetinga Tanzania . Hawa wenzetu ambao tumeishi nao mitaani kwa shida na raha wanatugeuka nakujenga kiburi na utengamano. The likes of Gwajima are adviced wasicheze na moto.
Tanzania ni nchi ya kipekee kabisa hapa Afrika, kamwe hatuwezi kuruhusu wapumbavu wachache kama Gwajima kutuletea mawazo ya kipumbavu, tutamsambaratisha haraka sana, kama anataka ukabila kwanini asivume mpaka na kuja Kenya, ambako ni ruhusa kuwa na Radio, magazeti hata vyama vya kikabila, huku hawezi pata nafasi" Tanzanians are civilized people"
Sent using Jamii Forums mobile app
Utasubiri sana uone tukibaguana kisa makabila 😂😂😂Tribal block voting hatimaye imetinga Tanzania . Hawa wenzetu ambao tumeishi nao mitaani kwa shida na raha wanatugeuka nakujenga kiburi na utengamano. The likes of Gwajima are adviced wasicheze na moto.
Keep on wet dreamingTribal block voting hatimaye imetinga Tanzania . Hawa wenzetu ambao tumeishi nao mitaani kwa shida na raha wanatugeuka nakujenga kiburi na utengamano. The likes of Gwajima are adviced wasicheze na moto.
Nilikuambia sometime back kuwa mko 20 years behind Kenya. Ona Sasa tayari mshaingia ukabila.Kenya ukigusa viongozi wa kisiasa ujue huo ndio mwisho wako,
1)Pio Gama Pinto
2)Tom Mboya
3)Robert Aoko
4)Jacob Juma
5)Chris Msando
6)Aboud Rogo
7)Makaburi
8)Mmiliki wa Modern coast buses
Hawa ni baadhi tu ya watu waliouliwa kinyama chini ya uangalizi wa serikali/Viongozi wa Kenya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee, wasukuma katika ubora wao. Hawana mzaha kabisa hawa jamaa wa kula miwa kwenye mabasi na kuvaa 'high waist'. Viva Magufulistan!(kwa lafudhi ya kisukuma). WALIMU WAONYWA KUFUNDISHA KWA KUTUMIA LUGHA YA KISUKUMAHaya sio mauaji ya kimafia maana walioyatenda wanaonekana kuwa malimbukeni fulani hivi, polisi tayari wapo kwenye hatua za mwisho za kuwakamata, wapumbavu hawakua professional kama kundi la wasiojulikana wale wa Tanzania.
Halafu hivi mbona awamu hii ya tano mnataka kuvuruga mshikamano wa Watanzania, nimeona nyie Wasukuma kwa kupitia Gwajima mnasambaza video za kuhamasishana kuunda makundi ya Wasukuma ili mtawale milele.
Wamaasai wa Narok hawataki mchezo. BBI ya nini kama nyie hamna matatizo?Nilikuambia sometime back kuwa mko 20 years behind Kenya. Ona Sasa tayari mshaingia ukabila.
Hakuna ukabila kama wenu hukuNilikuambia sometime back kuwa mko 20 years behind Kenya. Ona Sasa tayari mshaingia ukabila.
Sikumbuki case ya mwisho ya mauaji ya hao watu iliripotiwa liniAs Tanzania's Albino Killings Continue, Unanswered Questions Raise Fears
Hivi katika mikutano ya BBI hadi sasa Jaluo wangapi mumeshawapiga risasi?As Tanzania's Albino Killings Continue, Unanswered Questions Raise Fears
Sikumbuki case ya mwisho ya mauaji ya hao watu iliripotiwa lini
Basi wacha kutonuooshea kidole kimoja wakati tatu zinakuangalia.Wamaasai wa Narok hawataki mchezo. BBI ya nini kama nyie hamna matatizo?