DOKEZO Mauaji ya mraibu katika kituo cha Arusha Sober House

DOKEZO Mauaji ya mraibu katika kituo cha Arusha Sober House

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Mimi ni jirani ninayeishi Kata ya Matevezi au Ngaramtoni ya chini, Arusha Manispaa.

Nimekuwa nikisikia kelele za yowe mara nyingi Waraibu wakiadhibiwa katika Kituo hiki kinachomilikiwa na Kijana anayeitwa Tariq.

Juzi kuna kijana anayechunga Mbuzi huwa nina mazoea ya kumpa matunda alikuja akiwa amebadilika kihisia ndio akaniambia kuna mwenzao anayejulikana kwa jina moja la Faustine amepigwa akazimia hali iliyompelekea kupelekwa hospitali ambapo jioni alikata roho.

Waliompiga wanajulikana na kuna mchezo mchafu unaendelea ili iwe siri. Naliomba Jeshi la Polisi na Kitengo cha DSO wafuatilie habari hii mara moja sababu naambiwa wawili kati ya waliompiga majina yao Baraka na George wameshawezeshwa kutoroka na kwenda kufichwa.

Nawasilisha.
 
Naamini Polisi watalifanyia kazi suala hili. Hii ni mbaya sana kama ni kweli
 
Sober nyingi huwa kama vile zaid ya jela mixer kufungana kamba au kupigwa mbona kwa wenzetu wazungu ujinga huu hakunaga
 
Mimi ni jirani ninayeishi Kata ya Matevezi au Ngaramtoni ya chini, Arusha Manispaa.

Nimekuwa nikisikia kelele za yowe mara nyingi Waraibu wakiadhibiwa katika Kituo hiki kinachomilikiwa na Kijana anayeitwa Tariq.

Juzi kuna kijana anayechunga Mbuzi huwa nina mazoea ya kumpa matunda alikuja akiwa amebadilika kihisia ndio akaniambia kuna mwenzao anayejulikana kwa jina moja la Faustine amepigwa akazimia hali iliyompelekea kupelekwa hospitali ambapo jioni alikata roho.

Waliompiga wanajulikana na kuna mchezo mchafu unaendelea ili iwe siri. Naliomba Jeshi la Polisi na Kitengo cha DSO wafuatilie habari hii mara moja sababu naambiwa wawili kati ya waliompiga majina yao Baraka na George wameshawezeshwa kutoroka na kwenda kufichwa.

Nawasilisha.
Aliyewatorosha Baraka na George anaitwa nani?
 
Mimi ni jirani ninayeishi Kata ya Matevezi au Ngaramtoni ya chini, Arusha Manispaa.

Nimekuwa nikisikia kelele za yowe mara nyingi Waraibu wakiadhibiwa katika Kituo hiki kinachomilikiwa na Kijana anayeitwa Tariq.

Juzi kuna kijana anayechunga Mbuzi huwa nina mazoea ya kumpa matunda alikuja akiwa amebadilika kihisia ndio akaniambia kuna mwenzao anayejulikana kwa jina moja la Faustine amepigwa akazimia hali iliyompelekea kupelekwa hospitali ambapo jioni alikata roho.

Waliompiga wanajulikana na kuna mchezo mchafu unaendelea ili iwe siri. Naliomba Jeshi la Polisi na Kitengo cha DSO wafuatilie habari hii mara moja sababu naambiwa wawili kati ya waliompiga majina yao Baraka na George wameshawezeshwa kutoroka na kwenda kufichwa.

Nawasilisha.


Nyie hamjui tu namna Police wanavyofanya kazi, issue kama haina maslahi makubwa ya Police, lazima itajulikana tu, akifanyiwa ukaguzi wa maiti, ngoma haitaenda bure.
 
Niliwahi kukaa hiyo sober miaka ya kama miwili nyuma,kiuhalisia adhabu zinazotolewa pale endapo utaenda kinyume na utaratibu ni kali sana.

Kinachosikitisha mmiliki alihalalisha unyama huo
Duh!!,Mimi nilijua Sober house waraibu wanasaidiwa kuachana na madawa ya kulevya,kumbe kuna kupigwa vibaya tena?.Mhhh!!,hii ni hatari.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Mi najua sober ni sehemu salama na ya upendo, kumbe wanapata tabu, huyo Tariq kituo Cha kupiga Ela kimemshinda na kufanya kazi ya sober sio fani yake, Sheria ifanye kazi yake.
 
Niliwahi kukaa hiyo sober miaka ya kama miwili nyuma,kiuhalisia adhabu zinazotolewa pale endapo utaenda kinyume na utaratibu ni kali sana.

Kinachosikitisha mmiliki alihalalisha unyama huo
Huko sober kuna adhabu ?....hii kali....
 
Now nimeelewa kwanini wanatorokaga sober house wanarudi kuwa mateja mtaani
So mbinu za kumfanya mtu aache uraibu ni kumfungia ndani na kumpa masharti akilosea umpige mtu mzima?
 
Kuna Sober nimempeleka dadangu ipo kigamboni naona kama yule jamaa mwenye nayo kama anajielewa.Make naye alikuwa mraibu ana ya kike na ya kiume.
 
Back
Top Bottom