Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afrika tunaamini katika kupiga ili kurekebishaSober nyingi huwa kama vile zaid ya jela mixer kufungana kamba au kupigwa mbona kwa wenzetu wazungu ujinga huu hakunaga
Yaani mkuu pale kulikuwa na chumba kimoja ambapo mnyororo umefungwa kwenye nondo ya dirisha ili ikitokea mraibu umeenda kinyume utapigwa na watu kama sita hivi ambao ni kikosi maalum then utapelekwa kwenye hicho chumba na kufungwa kwa siku kadhaa watakazoona wao then watakutoa wakipendaDuh!!,Mimi nilijua Sober house waraibu wanasaidiwa kuachana na madawa ya kulevya,kumbe kuna kupigwa vibaya tena?.Mhhh!!,hii ni hatari.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Sasa hiyo Sober iko nyuma ya CopacabanaTunaishi mtaa mmoja[emoji2960] inawezekana hua tunakutana hapo Copacabana
Yaani ukienda kinyume ile naweza ita jela part2Huko sober kuna adhabu ?....hii kali....
Ngoja nikueleshe..Hao wanaotuhumiwa kuua ni waraibu ila manyapara,wao huruhusiwa kutoka nje,kuadhibu waraibu wenzao waliopo ndani ya sober n.k..hivyo aliyeuawa kwa mujibu wa mleta mada siyo mraibu ila wanaotuhumiwa na waraibu wenye vibali vya kutoka nje either kuwaletea waraibu hawa form one mahitaji n.kMi Nina kichwa kigumu, aliyeuawa ni mtu aliyekuwa sober au ni wa nje ya sober? Mara mchunga mbuzi yaani sielewi
Nafikiri aliyeuawa nae ni mraibu maana kwenye heading kaandika "Mauaji ya mraibu.......".Ngoja nikueleshe..Hao wanaotuhumiwa kuua ni waraibu ila manyapara,wao huruhusiwa kutoka nje,kuadhibu waraibu wenzao waliopo ndani ya sober n.k..hivyo aliyeuawa kwa mujibu wa mleta mada siyo mraibu ila wanaotuhumiwa na waraibu wenye vibali vya kutoka nje either kuwaletea waraibu hawa form one mahitaji n.k
Nashukuru mkuu! Ila soma headingNgoja nikueleshe..Hao wanaotuhumiwa kuua ni waraibu ila manyapara,wao huruhusiwa kutoka nje,kuadhibu waraibu wenzao waliopo ndani ya sober n.k..hivyo aliyeuawa kwa mujibu wa mleta mada siyo mraibu ila wanaotuhumiwa na waraibu wenye vibali vya kutoka nje either kuwaletea waraibu hawa form one mahitaji n.k
Lazima wadundwe Teja London hawezi kuwa sawa na Teja wa ungalimitediSober nyingi huwa kama vile zaid ya jela mixer kufungana kamba au kupigwa mbona kwa wenzetu wazungu ujinga huu hakunaga
mara nyingi wanapigana wenyewe kwa wenyewe, na wengine wanakuwa kama kichaa, ukizubaa wanampiga mpaka anaewahudumia, kiufupi ni machiziDuh!!,Mimi nilijua Sober house waraibu wanasaidiwa kuachana na madawa ya kulevya,kumbe kuna kupigwa vibaya tena?.Mhhh!!,hii ni hatari.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app