Founder wa Kilwa Empire wakati ameikuta Kilwa ipo? Tuache kuwatukuza hawa watu weupe
Sent using Jamii Forums mobile app
Tawala za Waafrika zilikuwepo au kwavile wao walikuwa hawatunzi maandiko? Tatizo hidtoria ya Mwafrika imeandikwa na Mzungu na Mwarabu hivyo wakajipendelea yakwao tuMkuu Punguza jazba, hajatukuzwa mtu hapa unaotafutwa ni ukweli. Hata kama alikikuta lakini yeye ndie alianzishwa utawala huo unaoitwa Kilwa Empire. Kaa kwenye hoja mkuu, Jamaa hapa wanalazimisha kutuaminisha kama Kabla utawala wa wafalme wakioman Kulikua na utawala wa Kibantu ambalo sio sahihi kabisa.
Hilo ndilo Jibu MkuuFounder wa Kilwa Empire wakati ameikuta Kilwa ipo? Tuache kuwatukuza hawa watu weupe Sent using Jamii Forums mobile app
Tawala za Waafrika zilikuwepo au kwavile wao walikuwa hawatunzi maandiko? Tatizo hidtoria ya Mwafrika imeandikwa na Mzungu na Mwarabu hivyo wakajipendelea yakwao tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Historia imepindishwa sana, wanajifanya wao ndo walileta ustaarabu utazani tawala za kifalme hazikuwepoHilo ndilo Jibu Mkuu
unajua kuna watu humu Jamvini wana zile silika za waarabu kuwa walipokuja huku Bara walikuta nyika na maNYANI tu wakawakata mikia wakawasafirisha
Hilo ndilo Jibu Mkuu
unajua kuna watu humu Jamvini wana zile silika za waarabu kuwa walipokuja huku Bara walikuta nyika na maNYANI tu wakawakata mikia wakawasafirisha
Historia imepindishwa sana, wanajifanya wao ndo walileta ustaarabu utazani tawala za kifalme hazikuwepo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwahiyo una pinga kuhusu uwepo wa huo utawala au nivipi? au hujahudhuria KIlwa na Zanzibar ukaona baadhi ya majengo yao?
Kwani ngozi hazikuwepo au we unazani ustaarabu ni kuvaa kipande cha kaka ya Mzungu/mwarabu?Hilo la ustaarabu pia unapinga? Hivi kwani sisi nguo tumeanza kuvaa lini?
Pole sana mkuu, kwa kuwategemea wale mbona utaendelea kulishwa matango pori kwa sana tu
Wale wapo pale wameekwa na CCM, na watakachokwambia wao ni kile walichopangiwa na CCM tu.
nimeshasema Sultani ni mgeni pale Kilwa sawasawa na Mreno katika safari zaoTwambie ukweli mkuu tutakuskiliza. Je unauitambua Usultan wa kilwa?
ni waongo sana wanajaribu kupindisha Histaoria ya kwelisoma para ya mwisho huyo Mshirazi kanunua hicho Kisiwa kutoka kwa Wabantu, wakati ni UONGO utanunua ardhi kwa shanga na abdalasin?Punguza chuki na Waarabu mkuu. Kwani kuna kitu walikufanyia au?
Sultan Ali ibn al-Hassan Shirazi (c.10th century), was the founder of the Kilwa Sultanate. According to legend, Ali ibn al-Hassan Shirazi was one of seven sons of the Emir Al-Hassan of Shiraz, Persia, his mother an Abyssinian slave. Upon his father's death, Ali was driven out of his inheritance by his warring brothers. Setting sail out of Hormuz, Ali ibn al-Hassan, his household and a small group of followers first made their way to Mogadishu, a commercial port on the East African coast. However, Ali failed to get along with the city's Somali elite and he was soon driven out of that city as well.
Steering down the African coast, Ali is said to have purchased the island of Kilwa from the local Bantu inhabitants.
mbona Lugha nyepesi hii huyu Ali alikinunua hicho kisiwa kutoka kwa Mfalme AlmuliMkuu Punguza jazba, hajatukuzwa mtu hapa unaotafutwa ni ukweli. Hata kama alikikuta lakini yeye ndie alianzishwa utawala huo unaoitwa Kilwa Empire. Kaa kwenye hoja mkuu, Jamaa hapa wanalazimisha kutuaminisha kama Kabla utawala wa wafalme wakioman Kulikua na utawala wa Kibantu ambalo sio sahihi kabisa.
kumbe nabisha na mtu wa aina nyingineAli is said to have purchased the island of Kilwa from the local Bantu inhabitants. According to one chronicle, Kilwa was originally owned by a mainland Bantu king Almuli and connected by a small land bridge to the mainland that appeared in low tide
Kwani ngozi hazikuwepo au we unazani ustaarabu ni kuvaa kipande cha kaka ya Mzungu/mwarabu?
Sent using Jamii Forums mobile app
nimeshasema Sultani ni mgeni pale Kilwa sawasawa na Mreno katika safari zao
na kwa vile Mwarabu ni mbaguzi hakutaka wale waliowakuta waishi nao hivyo waliwaua au kuwaHASI na ndio maana wakasisitiza PUNDA HAPANDI MUSCAT
toka mwanzo wewe na Chillubi nimewaomba muweke supporting doc kuwa hao waOman WaMahra, Waajemi kwao ni Pwani ya Afrika mashariki hamuweki mnakuja kubisha tu, na nilishasema hata Wachina walikuwepo hapo kabla ya miaka 2000
malizeni Mada zenj si wa Mwarabu ndio maana yake
ni waongo sana wanajaribu kupindisha Histaoria ya kwelisoma para ya mwisho huyo Mshirazi kanunua hicho Kisiwa kutoka kwa Wabantu, wakati ni UONGO utanunua ardhi kwa shanga na abdalasin?
nimeshasema Sultani ni mgeni pale Kilwa sawasawa na Mreno katika safari zao
na kwa vile Mwarabu ni mbaguzi hakutaka wale waliowakuta waishi nao hivyo waliwaua au kuwaHASI na ndio maana wakasisitiza PUNDA HAPANDI MUSCAT
toka mwanzo wewe na Chillubi nimewaomba muweke supporting doc kuwa hao waOman WaMahra, Waajemi kwao ni Pwani ya Afrika mashariki hamuweki mnakuja kubisha tu, na nilishasema hata Wachina walikuwepo hapo kabla ya miaka 2000
malizeni Mada zenj si wa Mwarabu ndio maana yake
Inaonekana hujui hasa nini unataka kutwambia.Ndugu yangu Mada tumeimaliza kwani wote hamtuwekei Link km (Ushuhuda) evidence ya hayo msemayo ni kubwabwaja tu mm kwa majibu nimekuwekea kwanini hawa Ndugu waili wa Sultani Said waligombana na Muingereza kumuweka wampendae
kasome Post # 209
Wabobeaji wapi? wale waliosema kuwa House of Wonder nguzo zake zimetengezwa kwa mafuvu ya muafrika? 😀 😀Akili yako wewe ndio haiko sawa na ukitafutacho katika search Injini hukijui
aliyetupeleka wiipedia sio mimi, mm nilikuwana naelezea niyajuayo kutoka na simulizi za wale wabobeaji wa makumbusho pale Zanzibar na kutuia Gazeti la RAI na nikijua kabisa Historia ya STD IV hata na vitabu
Nilikuwa nakusaidia wewe usiyejua Histori ya MuOman ulipobana Post #202