Mauaji ya Polisi wetu ni Ujambazi, Ugaidi au Retaliation? Nini kifanyike kukomesha hali hii?

Chondechonde Biashara ya mkaa inaleta shida!!!!! Ruhusuni jamani!!!!!!
 
Good Idea. Ila Kuna Maaskari Watakaotumia Same Same Privilege Kuonea,Kuua Raia Wasiokua Na Hatia. Maana Askari Nao Ni Watu Wana Mioyo Wana Wivu Na Wanaweza Kuwa Na Visasi. Ku-Abuse Hiyo Power To Shoot An Alleged Robber At First Sight Is Very Vulnerable
 
Vyanzo vya uchunguzi havipewi ushirikiano na wananchi kwa sababu wana hasira na uchungu mwingi sana inakuwa vigumu kupeleleza jambo wakati wananchi wana vinyongo njaa na pressure nyingi, pia polisi wengi huwa na Tabia ya kamatakamata hovyo hovyo ili wapate Rushwa kwa kutumia kisingizio cha kusaka wauaji ni mojawapo ya njia mbaya ya kuongeza chuki juu ya polisi na serikali kwa ujumla, magufuli anapaswa atambue wananchi wake hawana raha na mengi moyoni pia wanachukia sana Bashite kukumbatiwa kisha kutengeneza kafara mbalimbali za kuwasahaulisha watanzania juu ya vyeti vyake.
 
Mi naona kuna chezo hapa. Yaani ishu ya hapo pwani imeongelewa sana now ni almost a year na hakuna la maana linafanyika .....kunani?
 
mkuu hii ni kawaida kwa Tanzania na hutokea mara nyingi sana hususani huko wilayani mikoani ndiyo maana wananchi wengi huko wanawachukia sana polisi, hata hilo tukio la mauaji ya jana endapo waziri wa mambo ya ndani hatawatahadhalisha mapema wataenda kuwakata kamata hovyo watu kusha kuwabambikia kesi ili wapate Rushwa, blackmail za Bashite zimejaa ndani ya jeshi la polisi na wengi hutumia fursa kama hizi kujinufaisha kwa rushwa.
 
Mi naona kuna chezo hapa. Yaani ishu ya hapo pwani imeongelewa sana now ni almost a year na hakuna la maana linafanyika .....kunani?
polisi wamekuwa wakiwabambikia kesi wananchi matokeo yake wakati wa uchunguzi wa matukio hupata wakati mgumu kuchunguza kwa kuwa wananchi wana vinyongo vya kubambikiwa kesi.
 
hii hali si ya kupuuzwa/kufanyiwa siasa...Serikali iwe sikivu sasa...ijadili hali ya usalama nchini

nionavyo...abiria wameichoka safari ya lori
 
Tanga,Pwani,Lindi na Mtwara haya maeneo ni yakuangaliwa sana,kuna vijana wako misituni wanapata mafunzo ya kijeshi na kigaidi,siku waki graduate mtaisoma namba vizuri.mbaya zaidi mamlaka husika zinafahamu lakini wameamua kukaa kimya.
Ndio maana nakwambia hili.la.pwani ni chezo. Maana haiwezekani kama mamlaka zinajua halafu ziko kimya...huo ni usalama wa aina gani??? Nini kinaandaliwa hapa ambacho hatukijui...Je wanatengenezwa ******** ndio maana hakuna hatua....Mbona wale wasomali kipindi kile walivyoua polisi waliisoma namba dakika tu kutoka kwa jwtz?? Imekuwaje hapo pwani katikati ya nchi watu wanafanya mauji tangu mwaka jana wanaua viongozi but watu wako kimyaaaaa as if kuna sio roho za watu zile.
 
ni kweli mkuu wauaji hawana uhusiano na imani ya Dini yeyote wao kazi yao ni kutekeleza kafara za Bashite tu, na bashite alijua akiwatoa kafara polisi atamkomoa waziri Mwigulu nchemba atumbuliwe jipu baada ya kumuunga mkono Nape, hizi simema za Daud Bashite bado zipo nyingi endeleeni kusubiria tu.
 
Wakiua raia ni sawa tunasema walikua kwenye operation maalum, lakini wao wakionjeshwa umauti ni ugaidi....

Auwae kwa panga atakufa kwa upanga
Na siku za karibuni wameua sana Raia kisha kusingizia ni majambazi na kwa kuwa magufuli anawapenda sana hana mda wa kuhoji chochote kile, kipindi cha JK licha ya mapungufu yake alipiga marufuku polisi kuua ua majambazi alitaka wakamatwe pia kuwabambikia watu kesi ilipungua sana, lakini kipindi cha magufuli Tabia za Uonevu wa polisi kwa wananchi imerejea kwa kasi kubwa wengi wanabambikiwa kesi, wanauawa hovyo kama wale wafanya biashara wa mahenge na kuchukuliwa pesa zao, hii ni mojawapo ya kilichojenga chuki kwa wananchi.
 
Polisi ni muhimu wakawa rafiki wa raia katika kutoa taarifa za uhalifu unapofanyika.
Polisi wamekuwa wakiwabambikia kesi ndiyo maana wananchi hawataki kutoa ushirikiano kabsa, hata hivyo leo hii wananchi wengi wamekimbia eneo la Tukio wakihofia zoa zoa kumbakumba ya kuwabambikia kesi ili watoe Rishwa.
 
Yule kijana aliemtolea Nape pistol, hii sasa ndiyo kazi yake....
Aende akachunguzeee then awamaluze wale mahili kwa pistol yake!
 
Pasco mayala ww unaishi kijichi na huko kuna kota za polisi ni vyema uwambie kuwa Raia wanachukuzwa na Tabia mbaya iliyoreshwa kwa kasi, hawapendi kubambikiwa kesi, kuonewa, kunyanyaswa, kuporwa pesa zao kwa njia haramu za Rushwa, mwambie rafiki yako Bashite amwambie Baba jesca apige marufuku Tabia mbovu ya kuwabambikia watu kesi feki.
 
Midomo ya kisiasa imewafanya wananchi wawaone polisi kama maadui badala ya msaada kwao. Hakuna mtu atakayefurahia kuona mlinzi wake akifikwa na baya kiasi asitoe ushirikiano. Nionavyo mimi, mtazamo ndio wa kwanza kubadilishwa. Tusiimarishe Vikosi vya Kupiga Watu, tuimarishe uhusiano kati yetu
 
 

We una kichaa cha udini, ,,kwaiyo hao walioua police,,,wameua kwa misingi ya kidini unamaanisha au
 

Hajielewi Huyo,,,mpuuze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…