Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asikari use your common sense haya ni maisha tu utaacha watoto wanateseka bureKuna ile alisema majambazi walazwe chini badala ya kusema wakamatwe na kufikishwa kwenye vyombo husika.
Sasa naona majambazi wameamua ku-retaliate..ndo wanawalaza askari chini sasa. Inabidi kwa kweli kiongozi wa nchi apime kauli zake maana........
Nimeshangaa kweli juzi watu wanajadili bungeni kama hao wanaofanyiwa unyama sio binadamu!Inasikitisha na kushangaza sana. Saanane katekwa mwezi wa sita Serikali kimyaaa, Roma na wenzie wametekwa na kuteswa Serikali kimyaaa, uvamizi wa Clouds Serikali kimyaaa, vitisho dhidi ya Wabunge kutishiwa maisha yao Serikali kimyaaaa! Sasa kama Serikali inafumbia macho haya ni jukumu la nani kuhakikisha usalama wa raia na mali zao? Je, Serikali itaendelea na ukimya wake kufuatia haya mauaji ya kutisha dhidi ya polisi?
Nchi hii yetu sote. tushirikiane na tusikilizane kwa mambo yote ya kitaifa. maana uchungu na utamu wa kila jambo tunaonja wote. hakuna adui Bali cc sote ni wamojaKweli vifo vya askari wetu ni jambo linalomsikitisha kila raia mpenda amani, lakini kikubwa ninachokiona hapa na hasa hii awamu ya tano ni kiongozi mkuu kutopenda ushirikiano ulikuwa unasaidia kupatikana taarifa kati ya police na raia. Tumeona rais aliyotumia nguvu nyingi kuzuia police jamii wakati hilo liliwekwa kwa ajili ya kupunguza uhalifu kama huo
Subiri tu... Wataelewa polepole.Kuna kitu hakiko sawa sehemu fulani. Tujitafakari bila unafiki.
Acha unafiki na wewe kwa kujifanya humjui aliyetufikisha hapa .Wachangiaji msifanyie hili suala mzaha Gaidi hana chama wala dini ni mnyama akivaa vesti ya kujilipua huwa hajui ataua nani. Wiki iliyopita huko Misri katika kanisa la Copti mliona jinsi raia wasiokuwa na hatia walivyouliwa.
Tuweke pembeni tofauti zetu na tujadili adui yetu mkubwa Gaidi. Leo tumepoteza vijana wetu saba tunatakiwa tufarijii familia zao sio kutoa comments za mzaha.
Haya ni.mapungufu kwenye mafunzo na polisi wetu wamezoea kuonea wananchi wasio na silaha, ukiishi kwa upanga utakufa kwa upanga. Polisi wameua raia wengi sana wasio na hatia, wamepiga watu wengi sana wasio na hatia. Nao wamekutana na wenye hasira na hao wavamizi inaweklzekana wanalipiza kisasi fulani huwezi juaWanabodi,
Taifa bado liko kwenye shock ya nini haswa kilichotokea kwa askari wetu?.
Mauaji haya ya Polisi Wetu ni Ujambazi tuu, ni Ugaidi au Retaliation?. Wakati vyombo vya uchunguzi vikiendelea na kazi yake, Sisi Watanzania kama taifa lazima tujiulize, Nini Kifanyike Kukomesha Hali Hii?,
Kwanza nikiri nimesikitishwa na vifo hivi vya vijana wetu askari polisi kushambuliwa na kuuwawa na majambazi wenye silaha.
Swali ni jee huu ni ujambazi tuu wa kawaida, uvamizi kwa lengo la kuiba silaha, ni ugaidi, ambush au nini haswa?.
Hili kuwaweka polisi wetu kwenye risk na kuwa an easy target, kwa majambazi wanaotumia silaha, niliwahi kulizungumza hapa kwa kirefuhttps://www.jamiiforums.com/threads/hili-la-polisi-kuruhusiwa-kuwanyanganya-silaha-majambazi-na-kupandishwa-vyeo-limekaaje.1071133/page-5
Kwa tukio kama la jana,jee mnadhani huu sasa ni wakati muafaka wa kuzibadili sheria zetu za jeshi la polisi ili kuwalinda polisi wetu wawe licenced to kill officially na serikali itangaze rasmi kuwa ujambazi wa kutumia silaha adhabu yake ni kifo cha papo kwa papo, no prosecution no kesi, bali ni hukumu ya kifo there and then ili kuwaogofya kabisa majambazi wote wanaotumia silaha wasithubutu?!.
Kama ni ugaidi au retaliation, tufanye nini?.
Natoa pole kwa rais wetu wa JMT, waziri wa Mambo ya Ndani, IGP na familia za askari hao!
RIP Askari Wetu.
Nini Kifanyike? .
Ijumaa Kuu Chungu!.
Paskali
Mkuu Paskali, tukio hili kwa kweli linaumiza sana. Na linaumiza na kuleta hofu kubwa; kwamba kama askari wetu ambao ndio tunawaamini kuwa wanaweza kutulinda wanapukutishwa kirahisirahisi kiasi hicho, usalama wetu sisi raia uko katika mazingira gani? Ni tukio baya lakini linalotaka tafakuri huru isiyoathiriwa na ubaya wa tukio lenyewe. Kwanza, kuruhusu polisi wawe licenced to kill officially itakuwa ni wazo lililoathiriwa na ubaya wa tukio lakini lisilotatua tatizo la msingi. Kuruhusu polisi kuua hapo hapo ni kuongeza tatizo badala ya kulitatua. Vifo hata vya wasio na hatia vitaongezeka. Na haiwezi kushangaza "majambazi hewa" wakawa wengi kuliko majambazi halisi!Wanabodi,
Taifa bado liko kwenye shock ya nini haswa kilichotokea kwa askari wetu?.
Mauaji haya ya Polisi Wetu ni Ujambazi tuu, ni Ugaidi au Retaliation?. Wakati vyombo vya uchunguzi vikiendelea na kazi yake, Sisi Watanzania kama taifa lazima tujiulize, Nini Kifanyike Kukomesha Hali Hii?,
Kwanza nikiri nimesikitishwa na vifo hivi vya vijana wetu askari polisi kushambuliwa na kuuwawa na majambazi wenye silaha.
Swali ni jee huu ni ujambazi tuu wa kawaida, uvamizi kwa lengo la kuiba silaha, ni ugaidi, ambush au nini haswa?.
Hili kuwaweka polisi wetu kwenye risk na kuwa an easy target, kwa majambazi wanaotumia silaha, niliwahi kulizungumza hapa kwa kirefuhttps://www.jamiiforums.com/threads/hili-la-polisi-kuruhusiwa-kuwanyanganya-silaha-majambazi-na-kupandishwa-vyeo-limekaaje.1071133/page-5
Kwa tukio kama la jana,jee mnadhani huu sasa ni wakati muafaka wa kuzibadili sheria zetu za jeshi la polisi ili kuwalinda polisi wetu wawe licenced to kill officially na serikali itangaze rasmi kuwa ujambazi wa kutumia silaha adhabu yake ni kifo cha papo kwa papo, no prosecution no kesi, bali ni hukumu ya kifo there and then ili kuwaogofya kabisa majambazi wote wanaotumia silaha wasithubutu?!.
Kama ni ugaidi au retaliation, tufanye nini?.
Natoa pole kwa rais wetu wa JMT, waziri wa Mambo ya Ndani, IGP na familia za askari hao!
RIP Askari Wetu.
Nini Kifanyike? .
Ijumaa Kuu Chungu!.
Paskali
Wachangiaji msifanyie hili suala mzaha Gaidi hana chama wala dini ni mnyama akivaa vesti ya kujilipua huwa hajui ataua nani. Wiki iliyopita huko Misri katika kanisa la Copti mliona jinsi raia wasiokuwa na hatia walivyouliwa.
Tuweke pembeni tofauti zetu na tujadili adui yetu mkubwa Gaidi. Leo tumepoteza vijana wetu saba tunatakiwa tufarijii familia zao sio kutoa comments za mzaha.