yomboo
JF-Expert Member
- May 9, 2015
- 6,225
- 4,898
Hapo umenenambn Isaac Newton ametoa law mda mrefu sana.
"For every action there is equal and opposite reaction"
Utawala unapokuwa haueleweki haya hutokea busara ni muhimu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo umenenambn Isaac Newton ametoa law mda mrefu sana.
"For every action there is equal and opposite reaction"
Hata askari wanaua majambazi lakini hawashtakiwi, sijaona logic yako PaskaliWanabodi,
Taifa bado liko kwenye shock ya nini haswa kilichotokea kwa askari wetu?.
Mauaji haya ya Polisi Wetu ni Ujambazi tuu, ni Ugaidi au Retaliation?. Wakati vyombo vya uchunguzi vikiendelea na kazi yake, Sisi Watanzania kama taifa lazima tujiulize, Nini Kifanyike Kukomesha Hali Hii?,
Kwanza nikiri nimesikitishwa na vifo hivi vya vijana wetu askari polisi kushambuliwa na kuuwawa na majambazi wenye silaha.
Swali ni jee huu ni ujambazi tuu wa kawaida, uvamizi kwa lengo la kuiba silaha, ni ugaidi, ambush au nini haswa?.
Hili kuwaweka polisi wetu kwenye risk na kuwa an easy target, kwa majambazi wanaotumia silaha, niliwahi kulizungumza hapa kwa kirefuhttps://www.jamiiforums.com/threads/hili-la-polisi-kuruhusiwa-kuwanyanganya-silaha-majambazi-na-kupandishwa-vyeo-limekaaje.1071133/page-5
Kwa tukio kama la jana,jee mnadhani huu sasa ni wakati muafaka wa kuzibadili sheria zetu za jeshi la polisi ili kuwalinda polisi wetu wawe licenced to kill officially na serikali itangaze rasmi kuwa ujambazi wa kutumia silaha adhabu yake ni kifo cha papo kwa papo, no prosecution no kesi, bali ni hukumu ya kifo there and then ili kuwaogofya kabisa majambazi wote wanaotumia silaha wasithubutu?!.
Kama ni ugaidi au retaliation, tufanye nini?.
Natoa pole kwa rais wetu wa JMT, waziri wa Mambo ya Ndani, IGP na familia za askari hao!
RIP Askari Wetu.
Nini Kifanyike? .
Ijumaa Kuu Chungu!.
Paskali
Mbona la kutekwa na kuteswa watu hii rai hukuitoa?Kiukweli nimeumia sana baada ya kupata taarifa hii ya mauaji ya kutisha.Mimi nipo Lindi kwa habari zilizozagaa miongoni mwa polisi aliyeuawa ni ndugu yetu si watumbo moja bali anatokea hapa Lindi. Nimeumia,tumesikitika kwani polisi ni ndugu zetu,watoto wetu ifike wakati serikali ikomeshe haya mauaji imetosha.Ikibidi hata wapelelezi huru kutoka mataifa makubwa waje watupelelezee maana tunaumia jamani ndugu zetu hawaaa.
loopmbn Isaac Newton ametoa law mda mrefu sana.
"For every action there is equal and opposite reaction"
Acheni uchochezi pigeni kazi! Kazi nikazi ukiuwa kwa upanga utakufa kwa upanga!Matukio yanayotokea huko Pwani ni asilimia 100 ugaidi. Kitu cha kushangazaa ni hawa magaidi kuua na kuchukua silaha je wanamipango gani na hiyo silaha. Serikali isichukulie suala hili mzaha ama ujambazi wa kawaida kwani tunatakiwa tujifunze kutoka Nigeria jinsi Boko Haram ilivyoanzishwa. Mkoa wa pwani unapakana na bahari ya hindi na mnavyoelewa kuna tatizo la magaidi Kenya na Somalia je serikali inatathimini vipi watanzania wangapi wamejaribu ama wamejiunga na vikundi hivyo vya kigaidi na kurudi hapa nchini. Leo hii tunaona nchi za ulaya kuna vijana waliokuwa wamejiunga na Islamic State huko Syria wamerudi ulaya na kuanza kufanya ugaidi. Tuangalie suala la uchumi pia sasa hivi sisi na majirani zetu tuko kwenye vita vya kiuchumi katika ujenzi wa bomba la mafuta, reli na utalii majirani zetu wameonekana sio salama na Tanzania imeonekana ni nchi salama kunauwezekano wa hawa majirani zetu wakatumia watu wabaya ili Tanzania isionekane nchi salama,
Serikali ilichukulie hili suala very very serious kabla halijawa out of control.
Its so sad kwa kweli. Watendaji wasakwe popote pale walipo. May their souls rest in peace.Amen
Kazi ya bashite hiyo, anataka kutengeneza uadui kati ya polisi na raia. Ili aanze kamatakamata ablackmail watu.
Kisifanyike chochote juzi kuna Wabunge wameomba hilo swala lijadiliwe bungeni kuna wanawake jenista mhagama na mwenzie bila hata aibu wanasema ni uchochezi!
Yakasikika makofi ya Wabunge wa ccm waaaa...waaaa....waaaa....
Acha tuendelee hivi hivi
Huna huruma hata chembe.Nchi iko salama hao wanaolalamika ni wapiga dili tu,acha maneno ya uchochezi
Ndugu. Comments za mzaha zimejaa maumivu mioyoni mwa watu. Ni comments zinazoashiria watu wameanza kukata tamaa kwa sababu ya double standards. Wananchi wamevurugwa.sarcasm ndio namna yao ya kuwasilisha machungu waliyonayoWachangiaji msifanyie hili suala mzaha Gaidi hana chama wala dini ni mnyama akivaa vesti ya kujilipua huwa hajui ataua nani. Wiki iliyopita huko Misri katika kanisa la Copti mliona jinsi raia wasiokuwa na hatia walivyouliwa.
Tuweke pembeni tofauti zetu na tujadili adui yetu mkubwa Gaidi. Leo tumepoteza vijana wetu saba tunatakiwa tufarijii familia zao sio kutoa comments za mzaha.
I support your view. 100%In my point of view this is neither cospiracy nor robbery but it seems to be the FEELING of dehumainsation and oppression thats being conducted by the governing THEATRE...thus, this has the scence of RETALIATION ON THE MOTION and easist target is armed servicemen(women) that exactly giving us "tanzanian" hard time thinking of our "SAFETY" while armed men are dying accassionaly what about we the normads of life? Can we be spared our safety?
Mbona la kutekwa na kuteswa watu hii rai hukuitoa?
Watu wanapotea hii rai hukuitoa,
Tusibase upande mmoja, tuseme hivi, serikali ichunguze vitendo viovu vyote vinavyotokea na kutafuta namna ya kuvikomesha.... Si kwa askari tu, maana hata raia wengine nao ni binadam.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI AFRICA.
Huyu kichaa wa wapi tena? Hafai kusikilizwa, hajui kama wananchi wakiwaogopa polisi basi wakiona baya linawanyemelea watanyamaza? Ni jambo jema polisi wetu kuwa rafiki na RAIA wema (ambao ni wengi) kiasi akiona askari tabasamu linakutoka bila kujitambua"Nataka ifike mahali raia akimwona polisi ,raia amwogope polisi"(Hii ni sauti ya kichaa mmoja aliwahi kuitoa bila kujua umuhimu wa wananchi katika suala zima la amani ya nchi ).
Mmmhmbn Isaac Newton ametoa law mda mrefu sana.
"For every action there is equal and opposite reaction"